Wangeweka laki moja kwa familia ya watu 5 zaidi ya hapo laki na nusu. Alafu wakaliweka ni jambo la lazima kwa mkuu wa familia kulipia hata ikiwezekana kidogo kidogo kwa mwezi elfu kumi.
Kwa mfano utaratibu wa Kanisa ili utambulike kama Mkatoliki lazima uwe kwanye jumuiya muumini hataki kushiriki jumuiya kwa hiari yake mwenyewe siku imetokea amefariki ndugu ndo wanajitokeza na kusema ni mkatoliki wanataka kanisa limzike je kanisa likisema halimtambui likakataa kushiriki kosa la...
Hapa kimsingi ni lugha laini tu lakini ukweli unakuwa umelipia huduma huo mfano uliotoa ni gharama ya fomu bila kutoa kiasi hicho nina imani hautapewa fomu hata huku kanisani bila kulipia ile gharama itakuwa ngumu kupewa huduma.
Asante lakini hapo kwenye Sakramenti si muumini analipia mfano wakati wa kuandikisha mafundisho si huwa kuna malipo muumini analipia kabla ya kuanza mbona unasema ni bure?
Badala ya kuifanya huduma iwe bora na rahisi kupatikana kwa mwananchi ili washindane na wenzao badala yake wanawazuia wasitoe huduma ili wabaki peke yao.
Maxence Melo Maoni yangu napendekeza
1) uwekwe kwamba ukisoma thread ukiishia njiani ukiitaka tena basi ikupeleke moja kwa moja hadi ulipo ishia hadi utakapoimaliza.
2) kwenye thread nikitaka kusoma maoni ya member fulani basi niweze kusearch tu na inakuwa inanipeleka kwenye maoni ya huyo mtu...
Anadaiwa kwa sababu Mzazi unakuwa umeingia mkataba na shule kwa niaba ya mtoto kulipa ada pamoja na michango mingine ya shule na fomu hiyo unasign wewe hivyo ni wajibu wako kulipa hizo installment ni kukusaidia tu kupunguza kidogokidgo hadi unajikuta umemaliza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.