Jana ilishuka pips 70 in 3 minutes [emoji119]. Juzi ilifanya the same in 2mins, yaani ukitaka kuunguza account trade Gold bila stop loss, halafu tumia lot size kubwa[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Kama ni kwa matumizi ya chuo tu, kikubwa angalia storage.
Storage ambayo ni uhakika huwezi kuijaza hata kama uwe na vitabu au slides nyingi kiasi gani ni 64GB.
Pia, unaweza ku'consider' RAM. Ila mara nyingi simu zenye Storage ya 64GB zinakuwa na RAM ya 4GB. Ambayo ni bomba.
Hivyo, bajeti ya...
Kwenye pesa, nakubaliana na wewe.
Kwenye muda, kama una kichwa kizuri unaweza kusoma huku unafanya mishe nyingine.
Kama hoja yako inalenga kwamba miaka sita ni mingi, naomba nikukumbushe hao wanaomaliza mapema wanabaki kulaumu wanasiasa kuhusu ajira. Hakuna la maana wanalofanya mtaani
Sent...
Naona hamjaelewana. Kuna tofauti kati ya Apple stores na Resellers. Kwenye website ya apple utakuta stores tu na sio resellers
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Nipo chuo mkuu. Ninayaishi maneno yangu, lakini pia nimeona ni vzr ku'share' knowledge hapa na wengine
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Inasikitisha kwamba kuwa msomi siku hizi imekuwa aibu. Unasoma kwa bidii mpaka ngazi ya chuo kikuu unaishia kutia aibu mtaani.
Nakumbuka kipindi niko Form V niliazimia kuacha shule. Niliona kabisa napoteza muda mrefu na nitaishia kupata aibu tu kwa usomi wangu. Sio jamii tu, bali hata walimu...
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo? Misemo mingi ya wahenga haiko sawa.
Don't take it from me, take it from an American professor and expert in psychology :
In 2015, a meta analysis, a study of studies, found this pattern across thousands of studies following over 14 million twin pairs across 39...
Nakushauri uachane na wazo la kuongeza kozi.
Ni bora zaidi kama ukianza kujihusisha na biashara, don't put that much trust in education
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.