Dah! Afu wakukamate umeiba kuku uje uone unavyosagwa sagwa utadhani unashambuliwa na yale ma raptors na ma stealth fighters yaani F22 na F35.
Lkn wao their stomachs are as dry as Saharan desert of which there is no rain that can quench out its thirsty.
The Mickey cattle of Africa who seem to...
Na mimi nilishagundua hilo, unaweza kuwa unatukana kisela-sela-jinga kumbe unamtukana baba/mama/ babu/nyanya yako.
Bora tu kuwa na adabu na lugha hadhimu ya staha!
Kujiudhulu, kujiudhuru, umechanganya-changanya kishenzi mwanangu.
Sema KUJIUZULU usisumbuke na 'dhu' yako ahaha
Narudi kwenye Mada, naendelea kumsihi Ndugai akae kimya hivyo hivyo asiongee chochote maana he is at the edge of his last paper!
Dah! Ahahahah mwanangu tumeshea mamaaa, maana pale nimevibomoa vidumule kama sitini hivi, ahahah yaani pale mwake kishenzi juzi tu kuna kanyange kamenicheka tu nkafyatua mm sjui na hako umekapiga mwanangu!!!
Aisee umendika kitakatifu sana bila bias yoyote mkuu. Barikiwa sana! Muhimu kuchapakazi kisha kila kitu muachie Mungu uone atakavyopangua mafile! Safi sana.
Hii kwako comment lakini kwangu ni kama somo!
Nadhani watafanyiana timing, maana mama hata akishinikiza Jamaa kufutwa uwanachama, hawez kumtoa kwenye usipika maana spika silazima awe mwanachama wa chama chochote.
Na ikipigwa kura bungeni mama hataamini macho yake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.