Na haitakaa itokee vile Pakome ni mmoja tu, pia hakuna mchezaji ktk NBC ligi yote kama Fei Salum, Kibu au Diara
Kila mchezaji ana namna yake na ni mmoja pekee
Uzuri unajua ukweli ndio maana ukasema ni kama nimevuta bangi ila ukweli unaujua sijavuta. Kumbe ukivuta bangi unajibu kama nilivyojibu. Basi uache hizo bangi nami naacha kujibu kama wavuta bangi
Acha unazi wewe, Yanga lazima atoke akikutana na Mamelody. Hata Simba lazima atoke akikutana na Mamelody. Na kuna uwezekano mkubwa Mamelody akatwaa ubingwa.
Yaani unataka kusema Yanga akimtoa Mamelody basi anaenda kutwaa ubingwa Afrika?
Simba timu inaweza pangwa nazo hatua ya Robo ni
1. Al Ahly
2. Mamelody Sundowns
3. Petro Atletico de Luanda
Yanga
1. Asec Mimosas
2. Mamelody Sundown
3. Petro Atletico de Luanda
Haya mwambie Karia akuchagulie nani ukutane nae kati ya hizo.
Ficha ujinga wako basi japo kidogo tu. Unadhani wanapanga kama nyanya?
Vigezo ni hivi hapa
1. Timu zilizokuwa kundi moja hazikutani katika hatua ya robo fainali
2. Kunakuwa na vyungu viwili (pot). Pot moja ni washindi wa kwanza kila kundi na Pili ni washindi wa pili kila kundi. Hapa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.