Search results

  1. N

    Jamii imegoma kabisa kuhusu Magufuli? Nini kifanyike?

    Ni lini hao mafisadi wa awamu ya tano watapelekwa mahakamani?
  2. N

    Hizi protokali za kila mtu kutaja wageni eti ni protokali nu ujinga na inachosha sana.

    Kwa kweli picha za rais anapofanya ziara ndani ya nchi yake mwenyewe haina maana mbali na utumiaji mbovu wa pesa. Sote tunamjua! Ni sawa na mtu atokapo au audipo nyumbani kwake, familia yake ina-printi na kubandika picha zake kila pahali nyumbani kwake!!!
  3. N

    Jinsi ziwa Tanganyika lilivyo na maji mengi

    Kwa vyanzo vya majitulivyojaliwa na Mwenyezi Mungu(mito, maziwa, etc.), tatizo LA maji kwa matumizi yote ingelikuwa historia. Maji ya kunywa na kilimo yapo ya kutosho. Lakini utakuta kiongozi mtu mzima analilia mvua. Huko Israel, Misri, etc. waseme nini? Tatizo kubwa wataalamu wa nchi hii ni...
  4. N

    Jinsi ziwa Tanganyika lilivyo na maji mengi

    Kweli mkuu- maombi kama hayo Mungu hayo Mungu hajishughulishi nayo, tunajisumbua tu.
  5. N

    Tanzania yaruhusu mazungumzo mradi wa bandari ya Bagamoyo wenye thamani ya 22 trillion

    Kweli watujuze walichogomea ili tuelewe, wasije tufungia mbuzi kwenye gunia.
  6. N

    Mradi wenye thamani zaidi Tanzania, wa LNG wa Tzs trilioni 70 kuanza wiki zijazo

    Ni manufaa ya muda mfupi tu mkuu. Mbali na hivyo vibarua, kama taifa tunanufaika na nini kiuchumi? Binafsi ningependa kujua ni faida kiasi tutaipata Vs wao. Huyu mwekezaji angelikuwa bakhresa (Mtanzania yeyote) tungejisifu zaidi.Naamini maendeleo ya Taiga lolote huletwa na RAIA wa nchi husika...
  7. N

    Livingston Lusinde: Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna wanaomsema vibaya Magufuli

    Mbunge Yuko sahihi kabisa. Tuache ushabiki, Magu kazi kapiga. Hakuna mwanadamu alokamilika, lakini katenda makuu daima yatatukuka nje na ndani ya nchi. Tuache kulaumu tu, kila MTU hasa hawa walomadarakani miaka lukuki watwaambie wamefanya nini?
  8. N

    Rwanda wanajenga kinu cha Nyuklia; sisi bado tuna maono ya kujenga madarasa miaka 60 ya uhuru

    Umesema ukweli kabisa mkuu. Tatizo nchi yetu inaongozwa na genge LA watu waliopo kwa ajili ya maslahi binafsi. Miaka 60 ya Uhuru, bado hatuna dira ya taifa wala mfumo mahususi wa kuwapata viongozi wakuu!!??
  9. N

    Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

    Yumkini inaongozwa na wahuni, washauri lazima wawe na weledi.
  10. N

    Royal Tour ft Mama Samia: Wanaopinga wasome makala hii

    Wenzetu wanatangaza utalii lakini sisi tunawatangazia wawekezaji kuwa sasa tunademokrasi, tunawaonesha madini n.k. ili wawekezaji waje. Maswali muhimu ya kujiuliza:- (1) Je Tanzania tuliwahi kutokuwa na amani? (2)Bado tunalia na mikataba mibovu ya madini, je mama ataingia mikataba hiyo kwa...
  11. N

    Kwa hukumu ya Jerry Silaa, Bunge linategemea kuaminiwa?

    Nakuunga mkono kwa 100%. Wabunge wazalendo, watuambie/watuongezee ukweli wa jambo hii. CAG mstaafu hawezi sema uongo.
  12. N

    Kwa hukumu ya Jerry Silaa, Bunge linategemea kuaminiwa?

    Kama huu usemwao ndio ukweli na kwa hukumu alopewa Slaa!!!! Basi Tanzania hatuna Bunge Bali kundi LA walagai.
  13. N

    #COVID19 Ifike mahali Askofu Gwajima na wengine wa jinsi yake wadhibitiwe kiserikali na kichama kuhusu chanjo ya UVIKO-19

    Mkuu uchoshauri ni primitive ideas zinazotutafuna watanzania. Tumekuwa wanafiki kwa kuwaona viongozi malaika wasiokosea wakiwa madarakana. Wakitoka madarakana, mnahamia kwa mgeni. Mfano wakati wa hayati Magu na wenzake mliwasifu na kuwatukuza kama malaika. Leo mmewageuka nyote, sasa mnasema...
  14. N

    Spika Ndugai: Asiyetaka tozo ya kizalendo atupe njia mbadala ya kupata fedha

    Huduma za fedha kwa njia ya mitandao ya simu badala ya kuboreshwa ili serikali izidi kupata mapata makubwa kwa kushawishi wananchi wengi zaidi kuitumia kwani kodi yake haina chenga, wana-discourage huduma hii kwa maksudi! Kwa kiwango cha tuzo anayotetea mbunge huyu, watu watarudi kwenye mifumo...
  15. N

    Jerry Silaa: Wabunge tuanze kukatwa kodi kwenye Mishahara yetu

    Kwa formula ya kodi hata wakiongezewa ndiyo watalipa kodi kubwa zaidi. Walipe tu ili tuchangie sote maendeleo ya nchi yetu, huo ndio uzalendo wa kweli.
  16. N

    Dr. Diallo: Katiba inatengenezwa na Wananchi siyo Wanasiasa, 2014 tuliikosa katiba mpya kwa ubinafsi wa wanasiasa CCM ikiwemo!

    Leo kasema ukweli japo naye ni miongoni mwa hao wanasiasa. Kuthibitisha unafiki wa wanasiasa (Hususani Waafrika-wasowazalendo) tujiulize-wajuzi wa mambo haya tusaidieni, maoni ya wananchi ndiyo yaliyopitishwa na bunge LA katiba au yalipingwa chini na kutuletea katiba inojali na kulinda zaidi...
  17. N

    Sato bei poa kulingana na uzito

    Hapana mkuu; 15-19kg (tsh 9000/-) na zaidi ya 20kg ni tsh 8,800/-. Karibu
  18. N

    Sato bei poa kulingana na uzito

    Sorry, tuko mkoani Dar es Salaam, wilaya ya Kinondoni.
Back
Top Bottom