Habari za majukumu,
Jaman nnaomba ushaur course ip itakua nzur kwang kusomea na yenye soko kwa sasa nmemaliza katika mchepuo wa egm nilikuwa naiwaza architecture na mambo kuhusiaana na aardhi lakini nikaambiwa kwa now ntasota sana nikisomea hvyo naombeni ushaur wenu please.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.