Search results

  1. TaiJike

    Zitto: Sikuondoka CHADEMA bali nilifukuzwa

    Lekagi eyombo bh'ayanda bh'ane mlehubh'ila...
  2. TaiJike

    Uchaguzi 2020 Sijui Gwajima atatumia Sabuni gani ya 'Kuwatakatisha' Waislamu wa Kawe 'aliowadhihaki' na 'Wakatoliki' waliokwazika naye 'alipomshambulia' Pengo

    Sioni tatizo kwa Gwajima kugombea Jimbo la Kawe na ukizigangatia anayo haki ya kikatiba, kama issue ni hiyo video clip yake inayozunguka kwenye Mitandao ikihusu ndoto ya misikiti kuwa Sunday school akisimulia waamini wake pia itachekesha ikiwa Halima au Chadema watasimama na agenda mfu hii...
  3. TaiJike

    Gwajima atumwa Ninawi, akimbilia Tarshishi, Kawe imtose Baharini

    Utumishi upo wa aina tofauti tofauti sawa na vyombo kabatini, hata kwenye Biblia walikuwepo walio mtumikia Mungu kwa upande wa Madhabahu na upande wa siasa, Daniel tena ktk nchi ya ugeni na alifanya vizuri. Au labda Gwajima katangaza akiwa Mbunge hatakuwa mchungaji tena ila mla bata kama...
  4. TaiJike

    Gwajima atumwa Ninawi, akimbilia Tarshishi, Kawe imtose Baharini

    Kwa hiyo unataka kusema waendao bungeni ni wala bata??!! Sidhani kama Gwajima anashindwa kula bata akiwa kanisani tena bata isiyo under pressure.
  5. TaiJike

    Daudi Albert Bashite sasa utaenda kumlilia nani?

    Sasa atakuwa mpanga foleni kwenye ofisi za maRC kupeleka matatizo
  6. TaiJike

    Katavi: Mume amchinja mkewe kwa madai ya kumnyima unyumba kwa muda mrefu

    Umewaza kama Mimi, wameandika kutona na dhana iliyozoeleka kwa wanandoa kudhuriana kutokana na wivu wa mapenzi. Na kama ni kweli basi iko sababu ya msingi iliyopekelea binti kumnyima unyumba na pengine hakuwa na mahali pa kupeleka tatizo lake.
  7. TaiJike

    Uchaguzi 2020 Acha kulalamika, nawe kachukue fomu

    Hivi siasa ni nini?
  8. TaiJike

    Uchaguzi 2020 Acha kulalamika, nawe kachukue fomu

    Za masiku ni njema sana. Mimi siwashangai kwani Wamekaa kama hila ya kwapa kunuka bila Donda, Kama usemavyo wakachukuwe nao fomu kwa laki moja tu na katiba inawaruhusu labda kama ni under 18 , wangonjwa wa akili au hawajui kusoma na kuandika! Mzee Ngwajima waamshie Dude kwani hawajitajibui...
  9. TaiJike

    Is it right for a pastor (preacher) to be a politician?

    Uko sawa kabisa kwa sasa kubadilika na kuwa na mtazamo tofauti kati ya watumishi wa Mungu na siasa, kwani siasa ni watu ambao ndiyo haohao walio makanisani na kwenye Chama vya kiasiasa. Hivyo watumishi wa Mungu wowote wanaodhani kuwa wanaweza kutumikia nchi kwa njia ya siasa wajitokeze kwa...
  10. TaiJike

    Viongozi wa kiroho wasipitishwe kugombea nafasi za kisiasa kwa Usalama wa Taifa

    Rekebisha kwanza katiba ndipo ulete mapendekezo kama Haya. Katiba yetu iko wazi kabisa na inampa kila mtanzania haki ya kupiga au kupigiwa kura ili mradi amekidhi vigezo.
  11. TaiJike

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mimi bado nasubiri darasa toka kwa kina Bavaria & ONTARIO nikishajua nini kifanyike ndipo nifungue hiyo real account, kunguru mwoga mimi.
  12. TaiJike

    Humu ndani kumepoa sana

    Napita Mkuu
  13. TaiJike

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    ONTARIO Napenda kujua lini utaanza training ya hii kitu ili iwe rahisi kwangu kupanga ratiba zangu kwani niko nje ya Dar.
  14. TaiJike

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Count me in Mkuu ONTARIO pamoja na umbali uliopo kati yetu...dunia kama kijiji hakuna kitakachoshindikana.
  15. TaiJike

    Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

    Nami niulize kuhusu umeme wa solar ya azure, una bora kama mobisol? Nataka nipeleke kijijini.
  16. TaiJike

    Njia rahisi ya kufika kuzimu

    #1wewe ndiye mwenyeji wangu njoo twende[emoji1] [emoji1]
  17. TaiJike

    Majina ya kike ya Kisukuma

    Mulima dhahabu ya nhobhola (itumbate)?
Back
Top Bottom