Search results

  1. M

    Msaada: Mke wangu Maziwa hayatoki

    Jitahidi anywe uji wenye pilipili manga kwa wingi sana ukiwa wa moto....itamsaidia sana.
  2. M

    Kazi Supermarket

    Asante wadau,nitafanya hivyo....
  3. M

    Kazi Supermarket

    Thanks alot mkuu,wanapatikana wapi hao uchumi??msaada plz...
  4. M

    Kazi Supermarket

    Wakuu kuna nafasi za kazi nimeona za Uchumi Supermarket ila wanadai wanapatikana Quality, Mlimani na Mayfair, mwenye idea na hili anijuze wakuu mana nahofia yaweza kuwa changa la macho coz ukipiga simu wanasema interview ilikuwa leo but nikawaone pale Mliman City. Kuna yeyoye ana jua kuhusu kazi...
  5. M

    Zifahamu dalili zinazoashiria mwanamke ni mjamzito

    Watalamu wanasema inatishia kutoka so ushauri kamuone gyno utapata dawa zitakusaidia sana.
  6. M

    Msaada wa haraka wadau....

    madokta wa jf naomba kujuzwa jambo hili,hivi endapo ktk mwezi mwanamke ukaenda period siku kama 6 hivi badala ya siku 4 za kawaida na mzunguko wako ni siku 28,Je siku za hatari zinasogea mbele au zabaki vilevile?Au mp imeanza tar 2/7 ikaenda siku 6 danger day itaanza tar 12 mpk 17 au itaanza tar...
  7. M

    Msaada plz:je upo uwezekano wa kushika mimba hapo?

    Wadau kuna uwezekano wa kupata mimba katika mazingira ambayo ni miez 2 tangu kujifungua ila mtoto haikuwa riziki,tangu hapo huoni cku kabisa.Je ni kawaida hilo kutokea?Na baada ya hiloni kipind gani kizuri kushika mimba tena?Ushauri ktk hilo.
  8. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wapendwa natafuta mwalimu wa ajira mpya wa kubadilishana naye kituo cha kazi mkoa wa dar toka manispaa ya ilala niende manispaa ya kinondoni ila iwe shule za mbezi ya kimara.Kama yupo tuwasiliane hapa.THANKS
  9. M

    Nini tafsiri ya polisi kumficha vile polis mwenzao muuaji?

    Changa la macho wana2fanyia kwa kudhan kuwa watanzania 2bado wale wa enzi za nyerere,2liokuwa ha2jui A wala Z,TWAPASWA SHTUKA NA HAWA POLICCCM mana 2shawachoka badala ya kulinda raia wenyewe wanalinda ccm.HVYO HA2TAFIKA KABISA...
  10. M

    Nini tafsiri ya polisi kumficha vile polis mwenzao muuaji?

    Changa la macho wana2fanyia kwa kudhan kuwa watanzania 2bado wale wa enzi za nyerere,2liokuwa ha2jui A wala Z,TWAPASWA SHTUKA NA HAWA POLICCCM mana 2shawachoka badala ya kulinda raia wenyewe wanalinda ccm.HVYO HA2TAFIKA KABISA...
  11. M

    Anayetuhumiwa kumwua Mwangosi: PACIFIUS CLEOPHACE SIMON hajasoma sekondary?

    Hilo changa la macho tu,haiwezekani muuaji afunikwe vile na kupandishwa gari ya kifahari vile wakimaanisha anaenda selo au nyumban kwake kulala?Ile movie inachezwa ili wadanganyika 2tulie hasa waandish bt kiuhalisia hakuna ki2 kama hyo kamwe.Labda waachie ngaz ndo 2tawaamini hao POLISICCM!!,
  12. M

    Anayetuhumiwa kumwua Mwangosi: PACIFIUS CLEOPHACE SIMON hajasoma sekondary?

    Hilo changa la macho tu,haiwezekani muuaji afunikwe vile na kupandishwa gari ya kifahari vile wakimaanisha anaenda selo au nyumban kwake kulala?Ile movie inachezwa ili wadanganyika 2tulie hasa waandish bt kiuhalisia hakuna ki2 kama hyo kamwe.Labda waachie ngaz ndo 2tawaamini hao POLISICCM!!,
  13. M

    GradeA and Diploma Teachers are needed Urgently

    Mkuu kwan degree hawahitajiki kbs!Na pia naomba kujuzwa hao Teachers junction hawahusiki na conection ktk vyuo vya ualimu,mana me natafuta sana hyo chance kwa hapa dar.NIJUZENI.
  14. M

    Kazi BOT, mwenye vigezo changamkia hili

    Msada wko mkuu wengne twatumia cm,hela zenyewe za mawazo ukienda net then unakuta issue pande zko haijakaa vzr!c utajutia hyo 500 ulopoteza!
  15. M

    Sensa semina kesho tar 13 aug(dodoso fupi)

    Mkuu upo serious au!mana wengne vi2o vya semina viko mbali sana,mana nadhan kwa taarifa hyo kata nyng za kinondoni itakuwa hvyo mana karibia wote 2lihairishiwa.Mkuu 2peane if ni true.
  16. M

    Sensa Mbona Hawasomeki!!!

    Mkuu me mwenyewe nilipangwa huko,unafika kule hoi hafu ndo hakuna ki2.Vp sasa umeckia semina ni kesho au tar 14 mana wengne wanasema kesho others j4,sa nahofia tena kuchapa mwendo mpaka kule tena hafu unakuta patupu.2JULISHANE NDG!!!
  17. M

    Sensa Mbona Hawasomeki!!!

    Wandugu me nashndwa kuwaelewa hawa wa2 wa sensa,watapangaje tar za kuanza semina hafu wanahairisha without any Information ktk ofc za kata na hata maeneo waliyopanga kwa hzo semina.Jambo la m2 kwenda mpaka ktk eneo hafu hakuna taarifa na ukizingatia enen lenxewe ni mbali ka twakomoana vile,cjui...
  18. M

    Dodoso refu Vs fupi

    Hapo hakuna ukweli wowote mbona maeneo meng wamehahrisha na bila kutoa taarifa zozote wa2 2nafika mpaka vi2on hafu ni mbali kuliko wakuta hakuna ki2 and no any information.But hata wa refu hakuwa fanya baadh ya maeneo.Me nahc wana mpango wa kuchakachua hela mana semi yatakiwa cku 11,JE 2TAFIKA???
  19. M

    Malipo ya sensa

    Ndg yng Mcheza Karate mbona nilikuPM nikaku2mia email hujanikumbuka kuni2mia barua hiyo mkuu!!Msaada wko plz.
  20. M

    Mwenye taarifa ya majina ya sensa kata ya kawe, Makongo na Ubungo.

    wakuu naomba kuuliza aliye na taarifa ya majina ya sensa kata hizo ambazo 2lishafanya usail alh 2julishane wakuu isije ika2pita man nilisikia tetesi kuwa watatoa leo.Msaada kwa hilo plz.
Back
Top Bottom