Wakuu kuna nafasi za kazi nimeona za Uchumi Supermarket ila wanadai wanapatikana Quality, Mlimani na Mayfair, mwenye idea na hili anijuze wakuu mana nahofia yaweza kuwa changa la macho coz ukipiga simu wanasema interview ilikuwa leo but nikawaone pale Mliman City. Kuna yeyoye ana jua kuhusu kazi...
madokta wa jf naomba kujuzwa jambo hili,hivi endapo ktk mwezi mwanamke ukaenda period siku kama 6 hivi badala ya siku 4 za kawaida na mzunguko wako ni siku 28,Je siku za hatari zinasogea mbele au zabaki vilevile?Au mp imeanza tar 2/7 ikaenda siku 6 danger day itaanza tar 12 mpk 17 au itaanza tar...
Wadau kuna uwezekano wa kupata mimba katika mazingira ambayo ni miez 2 tangu kujifungua ila mtoto haikuwa riziki,tangu hapo huoni cku kabisa.Je ni kawaida hilo kutokea?Na baada ya hiloni kipind gani kizuri kushika mimba tena?Ushauri ktk hilo.
Wapendwa natafuta mwalimu wa ajira mpya wa kubadilishana naye kituo cha kazi mkoa wa dar toka manispaa ya ilala niende manispaa ya kinondoni ila iwe shule za mbezi ya kimara.Kama yupo tuwasiliane hapa.THANKS
Changa la macho wana2fanyia kwa kudhan kuwa watanzania 2bado wale wa enzi za nyerere,2liokuwa ha2jui A wala Z,TWAPASWA SHTUKA NA HAWA POLICCCM mana 2shawachoka badala ya kulinda raia wenyewe wanalinda ccm.HVYO HA2TAFIKA KABISA...
Changa la macho wana2fanyia kwa kudhan kuwa watanzania 2bado wale wa enzi za nyerere,2liokuwa ha2jui A wala Z,TWAPASWA SHTUKA NA HAWA POLICCCM mana 2shawachoka badala ya kulinda raia wenyewe wanalinda ccm.HVYO HA2TAFIKA KABISA...
Hilo changa la macho tu,haiwezekani muuaji afunikwe vile na kupandishwa gari ya kifahari vile wakimaanisha anaenda selo au nyumban kwake kulala?Ile movie inachezwa ili wadanganyika 2tulie hasa waandish bt kiuhalisia hakuna ki2 kama hyo kamwe.Labda waachie ngaz ndo 2tawaamini hao POLISICCM!!,
Hilo changa la macho tu,haiwezekani muuaji afunikwe vile na kupandishwa gari ya kifahari vile wakimaanisha anaenda selo au nyumban kwake kulala?Ile movie inachezwa ili wadanganyika 2tulie hasa waandish bt kiuhalisia hakuna ki2 kama hyo kamwe.Labda waachie ngaz ndo 2tawaamini hao POLISICCM!!,
Mkuu kwan degree hawahitajiki kbs!Na pia naomba kujuzwa hao Teachers junction hawahusiki na conection ktk vyuo vya ualimu,mana me natafuta sana hyo chance kwa hapa dar.NIJUZENI.
Mkuu upo serious au!mana wengne vi2o vya semina viko mbali sana,mana nadhan kwa taarifa hyo kata nyng za kinondoni itakuwa hvyo mana karibia wote 2lihairishiwa.Mkuu 2peane if ni true.
Mkuu me mwenyewe nilipangwa huko,unafika kule hoi hafu ndo hakuna ki2.Vp sasa umeckia semina ni kesho au tar 14 mana wengne wanasema kesho others j4,sa nahofia tena kuchapa mwendo mpaka kule tena hafu unakuta patupu.2JULISHANE NDG!!!
Wandugu me nashndwa kuwaelewa hawa wa2 wa sensa,watapangaje tar za kuanza semina hafu wanahairisha without any Information ktk ofc za kata na hata maeneo waliyopanga kwa hzo semina.Jambo la m2 kwenda mpaka ktk eneo hafu hakuna taarifa na ukizingatia enen lenxewe ni mbali ka twakomoana vile,cjui...
Hapo hakuna ukweli wowote mbona maeneo meng wamehahrisha na bila kutoa taarifa zozote wa2 2nafika mpaka vi2on hafu ni mbali kuliko wakuta hakuna ki2 and no any information.But hata wa refu hakuwa fanya baadh ya maeneo.Me nahc wana mpango wa kuchakachua hela mana semi yatakiwa cku 11,JE 2TAFIKA???
wakuu naomba kuuliza aliye na taarifa ya majina ya sensa kata hizo ambazo 2lishafanya usail alh 2julishane wakuu isije ika2pita man nilisikia tetesi kuwa watatoa leo.Msaada kwa hilo plz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.