Search results

  1. Justdr

    Kwanini wanawake wanapenda sana harusi kuliko ndoa yenyewe!

    Wanawake emu njooni hapa mtuambie kipi kinawafanya mpende sana shughuli/harusi kuliko ndoa yenyewe? Binafsi kuna wanawake kama 5 nishawashirikisha hili jambo, na nilikuwa nikiwaambia hivi langu "nataka nikuoe tufunge ndoa ila kusiwe na harusi hata ikiwepo iwe ya kifamilia tu, watu wasiwepo...
  2. Justdr

    Technology: Mifuko ya uzazi bandia inayotengeneza watoto, wanawake hawatabeba tena mimba. Wazazi kuchagua jinsia,rangi,akili urefu wa watoto?

    Mwanateknolojia wa kibaolojia na mtayarishaji wa Filamu Hashem Al-Ghaili anatupeleka kwenye ziara isiyotulia lakini ya kuvutia ndani ya EctoLife - kituo cha kwanza cha uzazi wa mpango EctoLife ni teknolojia itakayowapa wazazi wa siku za usoni njia mbadala inayodhaniwa kuwa salama zaidi ya...
  3. Justdr

    Je wajua unaweza kuambukizwa VVU/UKIMWI hata kama uliyefanya naye ngono zembe umempima na majibu yamekuja Negative?

    Habari za muda huu? Najua mko wazima kabisa! Wale mnaoumwa Mungu awajalie mrudi kwenye hali zenu za kawaida. Kumekuwa na hii imani kuhusu Virusi Vya UKIMWI watu wanatumia isivyo vipimo vya VVU(HIV SD BIOLINE au OraQuick HIV test) kama namna moja ya kijikinga ya haya maradhi. Watu wamekuwa...
  4. Justdr

    Ulitumia dawa gani kutibu vidonda vya tumbo?

    Vidonda vya tumbo ni moja ya magonjwa yanotusumbua sana miongoni mwetu na hii siyo Tanzania tu ni dunia nzima. Naleta huu uzi kwa maana wanasema sharing problem is half way of solving it. Hivyo bas wenye mlishawahi kuwa na changamoto kama hii na mkapata matibabu, naomba mshare namna...
  5. Justdr

    Being too perfectionist is a weakness

    Perfectionism is something that everyone struggles with at some point or another. Perfectionism is a weakness because it makes us overly critical of ourselves. It keeps us from enjoying life because we spend so much time worrying about making mistakes. We become self-conscious when we make...
  6. Justdr

    Samia Suluhu Scholarships

    Samia scholarship ni definition sahihi ya mwenye nacho ataongezewa. Ask me how?
  7. Justdr

    Vijana wamechaguliwa tena UDOM kusoma hizi kozi, washaurini kabla hawajaenda kupoteza muda

    Vijana wamechaguliwa tena UDOM kusoma hizi course Bachelor of Arts in English, Bachelor of Arts History, Bachelor of Arts Kiswahili😭😭😭 Ni huzuni kwa kweli. Kuna hizi za sayansi pia Bachelor of science in chemistry Bachelor of science in physics Bachelor of science in biology Mm siyo muandishi...
  8. Justdr

    Diploma of primary education ya Open University

    Mwenye ufahamu kuhusu diploma in primary education inayotolewa open university ,naomba anisaidie kujua vifuatavyo *Namna jinsi kozi inavyotolewa *Ada na gharama zote kwa mwaka *Others Natanguliza shukrani
  9. Justdr

    Kuajiriwa katika taasisi mbili za serikali, Je inawezekana?

    I get confusion comreds. Hivi inawezekana kwa mtu mmoja kuajiriwa na taasisi mbili za serikali mfano(Muhimbili National hospital na MUHAS) na akawa anapokea mishahara miwili kutoka taasisi mbilio hizo separately? Nipeni shule kidogo leo.
  10. Justdr

    Dogo anataka PCB kachaguliwa HGL

    Mwenye anaweza kunisaidia please! ..kuna dogo amemaliza f4 na kuchaguliwa high school HGL Unfortunately enough dogo hana interest kabisa na masomo ya arts ..yeye ni hama asome PCB au aende college kozi za afya(kozi za afya hapa barrier uchumi unabana hataweza). Sasa naomba anayeweza kunisaidia...
Back
Top Bottom