Wanawake emu njooni hapa mtuambie kipi kinawafanya mpende sana shughuli/harusi kuliko ndoa yenyewe?
Binafsi kuna wanawake kama 5 nishawashirikisha hili jambo, na nilikuwa nikiwaambia hivi langu "nataka nikuoe tufunge ndoa ila kusiwe na harusi hata ikiwepo iwe ya kifamilia tu, watu wasiwepo...
Mwanateknolojia wa kibaolojia na mtayarishaji wa Filamu Hashem Al-Ghaili anatupeleka kwenye ziara isiyotulia lakini ya kuvutia ndani ya EctoLife - kituo cha kwanza cha uzazi wa mpango
EctoLife ni teknolojia itakayowapa wazazi wa siku za usoni njia mbadala inayodhaniwa kuwa salama zaidi ya...
Habari za muda huu?
Najua mko wazima kabisa! Wale mnaoumwa Mungu awajalie mrudi kwenye hali zenu za kawaida.
Kumekuwa na hii imani kuhusu Virusi Vya UKIMWI watu wanatumia isivyo vipimo vya VVU(HIV SD BIOLINE au OraQuick HIV test) kama namna moja ya kijikinga ya haya maradhi. Watu wamekuwa...
Vidonda vya tumbo ni moja ya magonjwa yanotusumbua sana miongoni mwetu na hii siyo Tanzania tu ni dunia nzima. Naleta huu uzi kwa maana wanasema sharing problem is half way of solving it.
Hivyo bas wenye mlishawahi kuwa na changamoto kama hii na mkapata matibabu, naomba mshare namna...
Perfectionism is something that everyone struggles with at some point or another.
Perfectionism is a weakness because it makes us overly critical of ourselves.
It keeps us from enjoying life because we spend so much time worrying about making mistakes.
We become self-conscious when we make...
Vijana wamechaguliwa tena UDOM kusoma hizi course
Bachelor of Arts in English,
Bachelor of Arts History,
Bachelor of Arts Kiswahili😭😭😭
Ni huzuni kwa kweli.
Kuna hizi za sayansi pia
Bachelor of science in chemistry
Bachelor of science in physics
Bachelor of science in biology
Mm siyo muandishi...
Mwenye ufahamu kuhusu diploma in primary education inayotolewa open university ,naomba anisaidie kujua vifuatavyo
*Namna jinsi kozi inavyotolewa
*Ada na gharama zote kwa mwaka
*Others
Natanguliza shukrani
I get confusion comreds.
Hivi inawezekana kwa mtu mmoja kuajiriwa na taasisi mbili za serikali mfano(Muhimbili National hospital na MUHAS) na akawa anapokea mishahara miwili kutoka taasisi mbilio hizo separately?
Nipeni shule kidogo leo.
Mwenye anaweza kunisaidia please!
..kuna dogo amemaliza f4 na kuchaguliwa high school HGL
Unfortunately enough dogo hana interest kabisa na masomo ya arts ..yeye ni hama asome PCB au aende college kozi za afya(kozi za afya hapa barrier uchumi unabana hataweza).
Sasa naomba anayeweza kunisaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.