Kaka ni better kwako sio kwa watu wote na huu ujinga wa kusema ni better kuliko Magufuli jitahidi kuuficha hasa utaje humu jukwaani! Ila huko mtaani utakuwa kituko!
Huyo jamaa unahangaika nae tu maana yeye anaamini ndo anaweza kuwa na mawazo sahihi kuliko watu wote juu ya Magufuli!
Ila raia bado wanamkubali Magufuli kuliko hao walio hai kwa sasa
Tena wanaojua kingereza kibongobongo ni watu wenye ufahamu fulani!
Njoo sasa mtaani huku ulete huo utafiti kama Samia hapati asilimia 2! Endelea kuita uduanzi unadhani hata wangekuwa milioni moja asilimia za Mama zingepanda na kumzidi Magufuli? Punguza ujinga unao sukumwa na chuki!
CCM hii ambayo ilikuwa inazomewa kabla ya ujio wa JPM ndo unataka kusema ina wimara gani?
Acha utani watanzania wa leo wanajua mkiongozi mchapakazi na legelege
CCM hii ya sasa chini ya team Msoga ilishafeli tokea 2010 na itaendelea kufeli zaidi na zaidi!
2025 kazi wanayo kama ni huyu mama kwa heri mwalimu!
Unajua CHADEMA wanachokifanya saizi kwenye maansamano ni noma!
Lakini ndo mda wa CCM kudondoka no way out!
Makamu Mweneykiti chuzi alimnanga sana JPM juu ya makusanyo ya kodi kwenye utawala huu kuwa yako juu bila kutumia nguvu!
Sasa Wananzengo leo wamemjibu mubashara kupitia gazeti la the Citizen!
Gazeti la Kingereza la the Citizen anunue kilaza wa kijijini au mlala hoi kweli? Hao waliopiga kura ni wasomi na wanaojitambua bado wamempigia kura Magufuli kwa wingi! Mkijaribu kuja kwa wala mihogo mtatapa kura asilimia 2% aibu itakuwa kubwa zaidi!
Haahaha uzuri waliuza swali kwa lugha ya kiingereza! Naamini waliopig kura ni watu wenye uwezo wa kufikiri vizuri na kutambua mambo kwa undani! Tulieni Machwa hii ni wenu!
Magufuli huwezi kumpiga kijinga kijinga mbele za watu ukabaki salama! Marais wote wameangukia pua mbele ya Magufuli! Samia mwenyewe licha ya makelele ya machawa bado kapigwa chini!
Wewe hao wauza ngada wanakuhusu nini hata huyo Mbowe anayemwamini anaweza kuwa muuza madawa usiaamini sana maisha unayoyaona kuna upande wa mtu usio wazi huwezi kujua?
Waache wapambane wenyewe maaa unajitia kuwaonea huruma wauza madawa ya kulevywa kana kwamba hayo madawa hayana madhara kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.