Chimbo la suti za kiume Kwa bei ya jumla nicheki
Join WhatsApp group kwa maelezo zaidi
[emoji116][emoji116][emoji116]
https://chat.whatsapp.com/J6njhZUPqHT2XLBlRgDQdv
jipatie Suti kali za kiume kwa bei poa kabisa.
Plain suit- 140,000/=
Fashion suit- 170,000/=
Kaunda/Safar suit- 120,000/=
Kwa wateja wa Dar es salaam tunafanya free delivery na mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa.
Kwa mawasiliano zaidi;
Whatsapp: +255712878245
Call: +255743230690
Tunauza Suti za kiume aina zote, zipo
plain suits na fashion suits size zote. Suti zetu ni 2 pieces(koti na suruali) na 3 pieces (koti, kizibao na suruali)
Bei ya suti;
Plain suti
2 pieces(koti&suruali)-140,000/=
3 pieces(koti, kizibao&suruali)-150,000/=
Fashion Suti- 170,000/=
Tunatoa...
Suti mseleleko ni wauzaji wa suti za kike, kiume na suti za watoto kwa wateja wa Dar-es - salaam na mikoani. Bei zetu ziko poa kabisa zinaendana na gharama ya fedha yako.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana Nasi kupitia namba;
WhatsApp number: 0712878245
Suti za kiume(mikoani)...
Kwanza, ni lazima kijana ajitambue yeye mwenyewe lengo la kutoka nyumban kwenda Dar kutafuta maisha. Ni lazma awe anajua fursa zinazopatikana kwenye mazngra yake na kuona kama zinamfaa au la.
Hili suala la vijana kutamani kuhamia Dar ni suala la uelewa tu na jamii kuanzia level ya familia mpka...
Jiji la Dar es Salaam lipo kati ya latitudo nyuzi 6 hadi 7 na longitudo kati 39.45 kwa upande wa Mashariki na nyuzi 39 kwa upande wa magharibi, Kusini mwa ikweta na upande wa magharibi, Kusini na Kaskazini. Jiji linapakana na Mkoa wa Pwani, upande wa Mashariki linapaka na Bahari ya Hindi. Jiji...
Naseeb Abdul Juma Issack (maarufu kama Diamond Platnumz; majina mengine ya kisanii ni Chibu, Simba au Dangote; alizaliwa dar es salaam, 2 october 1989 ni mwimbaji wa nyimbo za Bongo flava kutoka Tanzania. Diamond ni msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko wasanii wengine Tanzania na Afrika...
Africans ni viumbe pekee dunian tunaotapatapa kwenye kila sekta, hii yote inasababishwa na kuikana asili yetu yani saiv hakuna utumwa wa nguvu tupo kwenye utumwa wa kifkra; leo hii africans tunakana majina yetu kwa kisingizio Cha din(ubatizo), tunakana lugha zetu kwa kisingizio Cha kuelimika...
Kua msomi haimaanishi utakua na maisha mazuri bali usomi(elimu) ni njia mojawapo Kati ya njia nyng za kua na maendeleo....sasa mtoa mada unashndwa kutofautisha Mambo halaf una mtazamo wa kipumbavu Sana
Hii ina ukweli ndani yake....advantage nyngne ya kusoma diploma Ni kwamba utakua marketable zaidi ukimaliza diploma kuliko waliomaliza degree kwasababu serikali yetu inaajiri Sana diplo kuliko degree labda kwa sababu serikali inapenda cheap labour( kwa upande wa afya)
Mambo hubadilika kila nyakati....saiv kuna internet ambayo imepunguza kwa kiasi kikubwa mambo ya mijadala ya face to face lakin pia internet imesababisha vijana wa sasa tuache kujieleza Sana tunavohitaji kitu fulan mfano; mtu unaweza kuhtaji kitabu flan badala ya kwenda library au kwa teacher...
Mkuu, Fanya unachoona kina ahueni....kuna time unaweza pata demu akawa haleti pigo za kukufanya bank mpk machangu unawasahau....lakn kuna nyakat za mashaka unakutana na akina amina ndara ndefu wanaanza kukufanya bank, sasa hapa unacompare hela ya kumpa changu inazid ya kumpa huyu amina ndara...
Siri ya mtungi aijuaye kata.....baba kumpiga mama tena mbele ya watoto inaweza kusababishwa na Mambo mengi ambayo watoto hamyajui...labda mama kazngua au mihemko ya baba...lakn pia watu wengi husahau maudhi ya mama anayomdharirisha baba mbele ya watoto(nazan hii inasababishwa na kauli za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.