Huko kwa Kuhani Musa yeye mahubiri yake kila siku ni uchawi tuu na watoto eti hufukua makaburi na kula nyama za watu 🤣
Mwamposya yeye ni uchawi wa paka na watu kurogwa na kunya misumari na maembe
Upumbavu mtupu
Kwanza hujui lolote kuhusu Uislamu Sasa kukuelimisha ni kumpigia mbuzi gitaa.
Mosi hizo heresay ukisoma OT nani aliyekuwa ana mrekodi Yahweh ad verbaun neno kwa neno kama secretary wake.
Nani alimuona Mungu akijifanya John Cena na kutandikwa vibaya na Yahudi mmoja.
Wenye Tourati ambayo ndio...
Bashe Kesha sema hatazuia chakula kuuzwa nje ya nchi
Juzi rais wa Congo amewekeana mkataba kufungua soko la chakula cha Tz jijini Lubumbashi hii ni mbali na la Goma na Kivu . Sasa changanya na yanayo kwenda Kenya, Rwanda, Sudan
Yusufu wako ni feki
Kilicho msumbua Zitto ni kutaka nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni akidhani atapata wabunge wengi toka Zanzibar lakini Mwendazake akapiga tobo yeye mwenyewe na kuishia kupata wabunge wanne tuu
Hotuba zote za Awesu ni
"... nani kama mama piga makofi kwa mama Samiaa.."
Mwambieni kila sekunde maji mamilioni ya lita yanamwagika baharini huhitaji kuwa Einstein kuyatumia
Hotuba zote za Awesu ni
".... Nani kama mama piga makofi kwa mama Samia..."
Mwambieni kila sekunde mamilioni ya lita za maji yanamwagika bahari na haihitaji teknolojia ya rocket kuyazuia na kuwapelekea watu
Watu wa Pangani nani kawaloga?
Mlioo karubi na Mhesimiwa Rais Samia mwambieni haya:
Dar maji imeshafikika lita 20 shilingi mia tano, watumiaji umeme kujipatia mkate wao hawana kazi
Sasa mwambieni sifa za Aweso za "NANI. KAMA MAMA, na Makamba za MAJIKO YA GESI KILA KIJIJI kwetu sisi tunotoa zaidi ya 70% ya pato la seriikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.