we umeona hili jukwaa la wapuuzi sana? Lini lowassa amewahi kuwa chini ya matonya? Hebu wana jamvi vuteni kumbukumbu zenu tusiwe tunachangia hata vitu vya kijinga na kutengenezwa,
pumbafff
wewe ulikuwa kwenye mkutano wa CCM labda, tangu wiki iliyopita walisema anayekuja Mto wa mbu ni Tundu Lissu, sasa hayo ya Dr. Slaa umeyatoa wapi? Nenda kwa kwenye mikutano yako ya Nepi na Mohamed Farah Aidid (Kinana), shame on you kwa kuandika uongo
Katika Kampeni inayoendelezwa na CDM nchi nzima leo chopa lilitua katika mji wa Mto wa mbu wilayani Monduli na Kamanda Lisu amehutubia wananchi, amewataka wananchi kuachana na CCM kwani haiwasaidii wananchi wake ambao wamekuwa wakitwishwa mzigo wa kodi na michango ya kila aina ambayo mwisho wa...
Mkuu nipo Arusha kikazi kwa wiki hii na bahati nzuri nipo wilayani Monduli, nimejaribu kufuatilia Uzi wako na baadae kutafuta wahusika, Hakuna hata mmoja anayejua hili, kwa sasa nipo hapa sepeko maarufu kwa jina Meserani au Duka mbovu ambayo ndiyo kaka ya Sepeko, wananchi wanasema hawana...
SIKUTEGEMEA MTU KAMA WEWE UNGEKUJA NA UZI WA KIPUUZI KAMA HUU, HUWA NINAKUHESHIMU LAKINI SASA BASI
NCHI HII KWA SASA HATA MTU WA CHINI ANAWEZA KUWA NA NYUMBA NZURI KWA NJIA NYINGI SANA ZA KIHALALI, UBUNGE WA SUGU NI TOSHA KABISA KUWA COLLATERAL YA MKOPO BANK, ISITOSHE SUGU HAKUWA KIJIWENI...
Kanusu una shida gani ndugu yangu? numekuuliza ni ahadi gani alizotekeleza husemi, yupo karibu na wananchi kwenye jambo/mambo gani husemi unang'ang'ania tu kusema tuna chuki, si uweke kwenye jamvi yale aliyoyafanya? we need tangible thinks siyo mambo mnayoongea kwenye ulabu uyalete hapa...
WE kadogoo acha kijifagilia ujinga bwana (Unajiita Kanusu hapa) huna elimu, wala hauko karibu na wapiga kura kama unavyodai labda mnaokutana nao kwenye pombe Wins, Mnadani na pale Engutoto, huna hata ahadi ulioitekeleza acha upuuzi sio taifa la vihiyo hili sasa tunataka wasomi, we ni hewa tu...
Huo utakuwa ni ukichaa kumpa kadogoo ubunge, mara 100 umpe mwiguli kuliko huyu kibaraka, hana shule ya kutosha kuongoza, iweje wasomi waamue kumchagua huyu bwana, ni vijana wasomi wa wapi walioamua katika hicho kikao?
Kuna vichwa vyenye akili monduli ambavyo hadi sasa vipo kimya japo ni...
Mkuu tulijifunza enzi hizo za mwalimu kwenye somo la siasa, TANZANIA NI NCHI ISIYOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE, UPO HAPO? kanunue vitabu vya siasa ujikumbushe
Ndugu mleta mada nimesikitishwa sana kwa mchango wako, unaweza kuwa sahihi kwa namna moja, lakini ukiwa kama mtanzania mwenye mwenye mapenzi na nchi yako na hasa nyumbani kwako monduli kama ulivyosema unategemea lowasa pekee anauwezo wa kuleta mabadiliko? wewe uko wapi? je ukiwa mwana Monduli...
Acha upuuzi wewe wakristu hawaongozwi na mazoea au utaratibu kama ulivyouita wewe, wakristo wamekuwa wavumilivi na wasiopenda makuu, lakini uvumilivu huu hautakiwi kuzidi na kuingilia imani ya ukristo, suala la jumapili ijumaa au jumamosi halina mantiki, hata uarabuni jpili ni mapumziko kuna...
Mchangiaji mbona unakurupuka! unachokieleza hapa ni kitu cha kufikirika kutoka kwenye nafsi yako finyu, hakuna logic yeyote, mbona haionyeshi kuna mtu amesinzia hapa? nenda CCBRT kapimwe macho wewe, acha chuki isiyo na maana, huyo mwanamke unajua anafanya nini? hii ni picha tu ambayo haina...
KOMBAJR usinichekeshe! 96 mil zinapatikana kilaini sana kwa Gambo kwani ni mfuasi wa David cameroon huyo, tumpr pole tu jinsi atakavyolipa, Cameroon akiwa busy kuna waarabu anawafaham huyo
Ndugu wana JF; Waziri mkuu wa zamani wa Israel Nd. Sharon alipata stroke na kupelekea kuuachia Uwaziri, aliendelea kupata stroke akiwa hospitali na kuwa kwenye Koma kwa muda mrefu, lakini ni miaka mingi sasa imepita hakuna taarifa zinazotolewa kuhusu afya yake au alishaaga dunia?
naomba mwenye...
We ni mpuuzi; huna data za kutosha kuhusu maendeleo ya nchi hii, Wakati wa MWALIMU vijiji vya ujamaa vilikuwa vinamiliki matrekta, malori na mabasi kwa msaada wa serikali leo badala ya matrekta tunaletewa BATAVUZI mnazoita Power Tiller, sasa hapa tunaenda mbele au tunarudi nyuma? huoni huo uozo...
nilichokigundua watanzania asilimia60 tunaupeo mdogo hasa wa akili mtu akishaongelea ana nyumba na gari basi huyo mtu anajidai or whatever jamani hayo ni mambo ya kawaida na wenzenu wanamagari zaidi ya matano kwahiyo kuongelea neno gari au kiwanja kwenye tv ni suala la kawaida sasa nyie wenzangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.