Mwenye kuelewa huu mradi ulipofikia naomba kujuzwa,
Mwaka Jana 2021, Serikali kwa kupitia Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi aliwaahidi warombo tatizo la maji litakuwa historia kwani , juzi nilipita maeneo mbalimbali mfano Kiraeni na Useri nimekuta watu wanatembea umbali mrefu...
Mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika kitivo cha elimu, ndugu: Kura Kasenyi, BSC Ed mwenyeji wa Geita, ameaga dunia kwa kujinyonga jana saa 2 asubuhi, dispensary. Alifanya jaribio hilo tangu juzi chumbani kwake na jana ilikuwa mara ya pili.
Inasemekana alikuwa na tatizo la akili na...
Licha ya jitihada zilizofanywa na naibu waziri wa afya na mkuu wa mkoa wa Dodoma kuwatuliza wanafunzi wa kitivo cha elimu wasigome na kwamba Serikali yao sikivu itafanya kila jitihada kuhakikisha wanapata fedha hizo kwa haraka, jitihada hizo hazijazaa matunda kwani wanafunzi walisisitiza...
Jana kulikuwa na matangazo kuwa wanafunzi wa UDOM kitivo cha elimu leo watajiandikishe ili wapate kitambulisho cha taifa, ajabu form walizopewa wanafunzi zinaonyesha ni form za mpigakura, Je! Vitambulisho vipya vya mpiga kura ndio kitakuwa kitambulisho kipya cha taifa? Na Je! Wale...
Kwa mda mrefu chama tawala kimekuwa kikishinda chaguzi mbalimbali kwa kutumia mbinu za kimafya. Nami na washauri wapinzani watumie mbinu hizo pamoja na za kwao kwenye uchaguzi ujao. Wakiiba kura nasi tuibe, wakitoa takrima kwa wasmamizi wa chaguzi nasi tutoe, wakigawa kanga na kofia nasi tugawe...
Mapigano bado yanaendelea kati ya wafugaji wakimasai na wakulima eneo la Matui, chanzo kugombea maeneo ya kilimo na ufugaji, naomba serikali ichukue hatua maana hali ni mbaya sana, hamna hata pilisi mmoja aliyeenda kutuliza gasia hizo,
watu wengi wameshaanza kuyahama makazi yao kunusuru maisha...
Na kama isha wahi kutokea nini chanzo cha ugomvi huo? Mi nachanganyikiwa watu wanasema Rwanda na Burundi walishapigana bt uki google hamna kitu kama hicho.
Jana yalikuwa ya fanyike maandamano makubwa mkoa wa mwanza kushinikiza serkali iwalipe wanafunzi madai yao au kuharakisha asessment ili wanafunzi warudi makwao , lakini jambo lakushangaza umekuwa unatuma sms za vitisho na kusema atakaje andamana kitakachompata asilaumu, bwana Fred naomba...
Wiki iliyopita nilikuwa jijini mwanza, na nimara nyangu ya kwanza kufka katika mkoa huu, kilicho nishangaza ni watu wengi kujenga nyumba zao chini ya miamba, hi imenishangaza kuona mtu anajenga nyumba kwenye mawe yanayoninginia bila woga wowote wala kujali usalama wa mali na maisha yao, sijui...
Sababu hizi zinanifanya niamini hayo.
1, kutokuchukuliwa hatua yeyote mafisadi wa nchi hii, mfano wez wa Epa, na walioficha fedha uswis
2, majangili papa kuachwa bila kuchukuliwa hatua yeyote kisheria.
3, kukwamisha bunge la katiba na...
Maendeleo ya nchi na jamii yeyote hutegemeana na kipaumbele katika taaluma ya ualimu. Hu ni ukweli usiokubalika kwa nchi nyingi za kiafrika lakini kwa nchi zilizo endelea kama Marekani na Uingereza moja ya fani inayothaminiwa sana ni fani ya ualimu na nifani ngumu sana kupata ajira ya...
Shughuli ni watu iwe harusi, msiba, ibada, siasa nk. Idadi ya watu katka shughuli yako nikipimo cha wewe kukubalika. Kumekuwepo na upotoshaji mkubwa hapa jamvini kuwa watu wanaofurika kwenye mikutano ya CHADEMA hawana impact yeyote kwa chama, kwa mawazo yangu njia ya mikutano ni bora kuliko...
Ungonjwa sugu huhtaji dawa ili kupöna tena nyingne ni chungu kupitiliza lakni mgonjwa hunabudi kunywa ili uweze kupöna, sakata la jana limeacha maumivu kwa wanachama wengi ikiwemo mimi , naamini chama kitapata misukosuko kidogo kwa mda lakini kitaendelea kuimarika.
Wana siasa wana saliti vyama vyao kwa sababu yako, wapigakura wanarubuniwa ili wakupate , wanasiasa wanauwana na kudhuriana sababu yako pesa na hata haki imepotea. Pesa mbona unakuwa kikwazo cha mabadiliko nchini? Bila pesa hatuendelei lakini wewe umekuwa kinyume hapa Tz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.