Nimekutana na hii habari sehemu kuhusu huyu mwanamke police huko Kenya anaewawinda ma ex wake na kuwaua
Kwasasa anatafutwa na police
===
In Sengre village, Kabondo Kasipul, Homa Bay County, the family of slain police constable John Ogweno is coming to terms with the death of their son.
To...
Kuna kitabu kimoja hivi kilitikisa sana miaka ya nyuma kinaelezea Uchawi wa Mchungaji Stephano,
Wakuu hivi hii story ni ya kweli?
Na huyo mchungaji alishawahi kuwepo?
Aisee nipo mtaani na nakutana na washkaji kibao tu wenye degree zao wakilia njaa na wakilalamika kua hawana kazi na wamezunguka Sana kuzitafuta lakini hawazipati
Sasa hivi ni kwanini wasomi wetu hawapati kazi na wamesona mpaka elimu ya juu?
Huko kwenye mashirika na makampuni binafsi na ya...
Salaam wakuu,
Watoto wengi wanaogopa Sana sindano na wengi wao hawajawahi hata kuchomwa hizo sindano zenyewe lakini wanaziogopa tu.
Yaan unakuta ukiwatajia tu neno sindano wanaanza kulia na kukimbia kwa woga.
Hivi ni kwanini?
Salaam wakuu
Binafsi mpira nilikua nacheza tuu na wakati huo sikujua kua mpira ni kazi na unawalipa watu..kwahiyo sikuupa muda wala nini...
Mtaani Kuna watu wengi Sana waliokua na ndoto kua mpira utakuja kuwatoa siku moja Ila mwisho wa siku wakaachana na mpira wenyewe kutokana na changamoto...
Tarehe 1/4 kila mwaka huwa ni siku ya wajinga duniani
Binafsi sijawahi kudanganywa kwenye hii siku maana kila anaetaka kuniingia/kunidanganya huwa namshtukia mapema sana na kumwambia kua leo ni sikuku ya wajinga kwahiyo sidanganyiki [emoji3]
Vipi wewe ulishawahi kudanganywa siku ya...
Aisee Hawa watu wakuitwa matapeli wanakera sana. Wakipiga simu ukiwastukia wanaporomosha matusi yani hadi kwa wazazi wako wao wanatukana tu.
Hivi haya makampuni ya simu yameshindwa kabisa kutulinda sisi wateja wao waaminifu dhidi ya hawa matapeli?
Salaam wakuu
Eti wakuu niliskia eti bangi inafukuza majini yaani majini yakiskia harufu ya bangi yanakimbia[emoji3] hivi ni kweli?
Na bangi inasaidia nini mwilini? inauwezo wa kutibu magonjwa? Ni magonjwa gani hayo yanayotibiwa kwa kutumia bangi?
Aisee binafsi nakerwa sana na msemo Nyani haoni kundule
Sababu: hilo neno kundule naona kama nimetukanwa vile [emoji2]
Wewe ni msemo gani wa kiswahili una kukera? Na kwanini?
Timu ya Taifa ya Ufaransa itakuwa bingwa kwenye mashindano haya ya EURO yanayotegemewa kuanza 11/6/2021
Binafsi sijaona timu yakumsumbua France wana kila aina ya mchezaji na wamekamilika kila idara
Binafsi sijawahi kukunjana na polic Ila nimeshawahi kushuhudia jamaa mmoja hivi mbavu kidogo akikunjana na polic Ila kwa bahati mbaya sikujua kisa na mwisho wa siku huyo polic alijitetea kwa kutumia miguu yake [emoji3][emoji3]
Je ilishawahi kukutokea au ulishawahi kushuhudia raia na polic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.