Uko kama mimi tu.Yan najua kabisa huyu mke au dem wa brother au dogo au mshkaji anapita hapa n mimi naenda hapo aisee haiwezekan..ya naona uchafu kabisaa tena ni kama unatembea na mwanaume mwenzako
Acha kulia lia we master choko.
Ungenijua usingenitolea vimifano vya kutishia nyau hivyo.Af sipendagi kujisifia shida maana zilishanipa funzo la kutosha..
Wanawake na wanaume decent wastaarabu waliolelewa na ku maintain maadil yao licha ya maisha kuwa harsh WAPO tena WAPO SANAAAA na bado watakuwepo mpaka dunia inaisha.....kwakifup WANAPATIKANA na WANAOA/WANAOLEWA daily.
Mmeathirika sana na ukosefu wa maadil na watu wanaowazunguka na mnaojihsisha...
Kujifanyaga marafiki mpaka mnaunganisha family affairs zenu na wake/waume zenu matokeo yake huwa ndio kama haya...Jifanyen wazungu tu..HAPA STORI TU, KULA KILA MTU KWAKE.
Umesomeka vyema kabisa.
Swali la kizushi kidogo mkuu...
Tumekua watumiaji /utilizers wazur sana wa hiz programming platforms/languages and their respective IDEs ili ku develop softwares... but i wondér how can someone develop these languages...yan uka develop your language, compilers, libraries...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.