mwalimu wangu advance shule A Mwanza.alkua zaidi ya komedi.kwanza hanyoi sharubu zake ni kama hitle,alkua very lough kuanzia nguo mpaka mwili.dadeki alkua na mkanda mweupe kama utambi wa taa.dadeki biology kwake ilikua kama kumeza mlenda mzee hatembei na kitabu wala notes ni chaki tu...
mabubu huwa balaa kwenye ufundi.yupo mmoja namjua anaishi nyakato mwanza anacheza na mbao hatari kazi zake nazikubali knoma.bubu weka mbali na ufundi mungu hakunyimi vyote.
mabubu huwa balaa kwenye ufundi.yupo mmoja namjua anaishi nyakato mwanza anacheza na mbao hatari kazi zake nazikubali knoma.bubu weka mbali na ufundi mungu hakunyimi vyote.
pointless hata hapa bongo tunabaguana wenyewe kwa wenyewe.wenye nacho anambagua asiekua nacho na mwenye position flan anamdharau wa chini.bora uonekani mbwa ulaya ukitafuta maisha bora.kuliko kubaki tz ukiitwa mnyonge ukiwa kwenye ajira tembo mshahara sungura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.