kweli lisu me nimekusikiliza kuanzia mwanzo hadi mwisho. we ni kiboko kwelikweli. naamini ukisimama hao viongozi wenu wanaanza kuhangaiika. wanaanza kujipanga jinsi ya kuwakanilize. ccm walevi wa madaraka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.