Una akili timamu kweli wewe? Kila mtu anaweza ishambulia Israel? Hujui kuwa ukiishambulia Israel, umeishambulia Marekani na Ulaya yote? Unadhani Israel ni Haiti?
Wapo baadhi ya wanaume kwa upuuzi wao au ufahari wa kiume ama fikra hasi, huzimisha au hukwamisha mipango ya kiuchumi ya wake zao ambayo ingetimia ingekua faida kwa familia nzima.
Nilichosema, tatizo ambalo unalikwepa kulikubali, pia wanaume wapo wanaozuia plan za wake zao[ambazo ni za manufaa kwa familia] kukua.
Mimi nina mtu, yeye ni civil servant, tatizo lake ni mtu asiyejihangaisha kabisa, anaishi on his salary tu. Mkewe ni visionary sana, anahofia hatma ya familia...
Hapana mzee sizungumzii malaya wadangaji. And lets not generalize.
Unaweza anza mahusiano na mwanamke ukakuta ana shughuli fulani na ana ndoto nayo ya kwenda nayo mbali. Sasa mwanaume ana muoa anakua abusive na anazuia plan zake kukua ambazo kimsingi ni za manufaa kwa familia yote. Dunia...
basi tu wengi wana akili za kichawa za kuogopa pale tajiri anapokosolewa. Ila kuhusu Mo watu wa mpira tulishamshtukia kitambo kua ni janja janja. Anafanya mambo ya hadaa hadaa kudanganya wanasimba. Simba inapaswa tu kuweka mfumo mzuri wa wakezaji, haiwezi kosa mwekezaji. Dunia hii wawekezaji ni...
Mwanaume kuwa na mahusiano na mwanamke ambaye anayaendesha mahusiano yenu kiuchumi, ni kujitafutia kurogwa, kuuawa au kukosa uhuru wa uanaume. Mwanamke akikuhudumia atataka akutawale, ukizingua kidogo tu, reaction yake ni zaidi ya Mtaliban. Ukichelewa hata kurudi nyumbani, ni mzozo. Atawaza hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.