[emoji599] BREAKING NEWS:
Taarifa zinaeleza kuwa klabu ya Yanga haita tumia dressing room za uwanja wa Mkapa baada ya kuikuta kwenye hali mbaya, ripoti zimefika kwa mratibu wa mchezo (coordinator) ambae mpaka sasa ameidhinisha klabu hiyo kutotumia vyumba hivyo. Taarifa zaid itafuata
Source...
Na Thadei Ole Mushi.
Mwaka 2020 kupitia hapa hapa Social Media nilimpata Mdogo wangu wa Hiyari anayeitwa LUMOLA Steven Kahumbi.
Ilikuwaje?
Huyu Dogo amezaliwa Tumbo Moja na Mbunge wa Nzega Dr. Hamisi A. Kigwangalla . Dogo yeye akiwa Chadema na Hamis yeye akiwa mwana CCM mwandamizi.
Kutokana...
Siku zote ambazo simba imekua ikipoteza mechi au ikifanya vibaya baadhi ya mashabiki na viongozi 'huwaga' wanatoa madai ya kujuhumiwa.
Walianza kumsimamisha Said Tully kwa madai hayo hayo ya hujuma then wakamrudisha tena kundini, pia wakarudi kwa haji manara kwa madai ya kua anatumiwa na GSM...
Mzuuka jf.
Mpaka Sasa 'kitamaduni za kiafrika' yanga ameshamaliza mechi yake dhidi ya mtani wake simba,haikua rahisi kuicheza hii mechi kwani Simba walikuja kivingine kupitia yule mtaalamu wao wa kirangi ambaye amebobea katika vitabu.
Kwa taarifa ambazo nimezipata hivi punde ambazo sio lasmi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.