Msipende ku judge kitu kutokana na Imani ya mtu.
Godfather wa Mihadarati duniani kote na ambaye hajawahi kutokea, Pablo Emmilio Escobar Gavilla alikua Roman Catholic mzuri tu,na alikua anasali sala zote ikiwemo 'Baba yetu uliye mbinguni' but at a same time alikua muuwaji na Godfather wa madawa...
[emoji599] BREAKING NEWS:
Taarifa zinaeleza kuwa klabu ya Yanga haita tumia dressing room za uwanja wa Mkapa baada ya kuikuta kwenye hali mbaya, ripoti zimefika kwa mratibu wa mchezo (coordinator) ambae mpaka sasa ameidhinisha klabu hiyo kutotumia vyumba hivyo. Taarifa zaid itafuata
Source...
Nasikia ofisi ya Mkaguzi (Naot) nao wanakula sana keki ya taifa hususani kipindi cha ukaguzi kikianza.
Mwenye a,b,c na d atupe mawili matatu.
Cc:@Mwifwa.
Suala la likizo halibadiliki kama ilivyo kwa watumishi wengine.
Nahisi kwa mwaka kuna siku 30 za likizo.
Suala la oda hili halikwepeki mkuu.
Ikitokea kuna dharura na unahitajika ASAP basi utaitwa na likizo yako utaacha na kwenda kwenye majukumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.