Nimeamua ku-skip google kidogo maana ni kitu sikutegemea. Nimeshindwa kupata emoji iliyovaa headphones. Nikashtuka kidogo.
Naomba kuuliza kwa wenzangu kama nyie kwenu ipo?
Uzi Tayari.
Kama kuna kitu kinaturudisha watu wengi nyuma ni kusubiria mpaka vitu vyote vikae sawa ndio tuanze kufanya kitu fulan. Ngoja hiki kiwe hivi ndio nifanye hivi zimekuwa nyingi sana.
Siri ni kuanza tu, kwa namna yoyote, iwe kwa ukubwa au udogo, ila anza leo. Kidogo kidogo utafikia unapohitaji...
Habari Wakuu,
Binafsi kwenye swala la kubadilisha fedha za kigeni lilikua lina nichanganyaga kujua Zile Rates zina ku-affect vp. Sell rate inatumika muda gani na Buy Rate inatumika muda gani. Ila baadae nilielewa.
Wewe huwa unapataga changamoto gani unapotaka kubadilisha fedha za kigeni kwenye...
Habari Wakuu,
Binafsi kwenye swala la kubadilisha fedha za kigeni lilikua lina nichanganyaga kujua Zile Rates zina ku-affect vp. Sell rate inatumika muda gani na Buy Rate inatumika muda gani. Ila baadae nilielewa.
Wewe huwa unapataga changamoto gani unapotaka kubadilisha fedha za kigeni kwenye...
Nimesoma hii makala sehemu moja huko kwenye intaneti nikasema sio mbaya kama nikiitafsiri ili iweze kueleweka kwa wote, pia nimebadilisha baadhi ya mifano kuendana na mazingira yetu, maana imenigusa kwa namna fulani. Nimeambatanisha PDF ya nakala zote mbili ya kiingereza na kiswahili...
Niaje wadau,
Ni muda sana sijapost kitu humu ndani, mambo mengi. Leo ningependa kuwasilisha shell script niliyotengeneza kunisaidia kutafuta decrypted hashes, sana sana za MD5. Script hii naelewa kwamba siyo kwa matumizi ya wote, kwamba wengi wanaweza hata wasielewe faida au inatumika kwa...
Niaje wakuu,
Ni muda mrefu sijapost kitu humu. Leo nakuja na swala moja tu ambalo Kwa developers ni muhimu.
Je kuna APIs zozote specifically kwa Tanzania?
Mfano, tuna news network nyingi sana Mwananchi, Citizen, Nipashe n.k. Swali ni je kuna Interface zozote in place ambazo zinaweza kusaidia...
UNLOCK MODEM ZA 4G TIGO:
Kama una modem ya 4G ya tigo (E3372h-153) ambayo hujaifanyia ANY modifications, nafanyia network unlock ili iweze tumika kwa mitandao yote!. Plus network unlock code pia nakupatia(Just incase).
NOTE: For now, Hii ni kwa walio DSM tu (mpaka nitakapo shusha Tech Guide ya...
By Tariq Nasheed..
kwa wasiojua, hidden colors ni documentary inayoelezea historia ya mtu mweusi (black man) like never before. Mimi nimeiangalia na kwa kweli ni documentary ambayo ni thought provoking sana! Inaelezea jinsi na kwa kiasi gani 'whites' wanafanya kwa makusudi kuficha na kufuta...
Wakuu niaje,
Ni muda mrefu sasa toka nimepost kitu muhimu na useful pia; Well sina jipya sana bali nilikua tu natoa tu kama habari ya project ambayo nimejipa kama challenge kwangu mimi mwenyewe na pia kusikia nyie mnasemaje au mna maoni gani, Ishu ni kutengeneza application ya wireless tethering...
Angalia Tutorial yangu kuhusu jinsi ya kupata Product yoyote ya Autodesk including : 3ds Max, Maya, AutoCAD, Revit na nyenginezo!
Kama hauzifahamu au huna kazi nazo please pita tu kistaarabu huna haja ya kuanza ku comment mambo yasiyo eleweka...
Nimeweka Picha ya Baadhi ya programs nilizowai...
Wakuu niaje,
long time sijapost chochote maana niko busy vibaya mno though huwa napita pita siku moja moja...
Nina swala moja tu leo ambalo ningependa ushauri wenu kwa faida ya kila mtu...
Ishu ni kwamba, wewe kama mtumiaj wa tigo je ni kifurush gani unaona ni more economical? Hapa tutoe...
Wakuu habari,
Siku hizi kuna simu nyingi sana ambazo ni clone ya simu original, nyingi ikiwa ni za samsung... Juzi kati niliona moja ambayo ni ya samsung galaxy note 3, nilishangazwa kuona jinsi gani perfomance yake haikuwa mbaya sana na pia jinsi ilivyokuwa kwa sababu kwa macho ya juu juu...
Kwa wale wanaotaka kwa hamu kujifunza 3d animation na CGi kwa ujumla, nikitengeneza tutorial DVDs kwa lugha ya kiswahili, mko tayar kulipia ( maana wabongo tunapenda vya bure ) and what do you think should be the price range,?... Nasikiliza maoni yenu.
Personally niko fresh kwenye hayo mambo...
Nimeifanyia Kazi for kitu kama Wiki moja na Nusu...
Nashukuru Mungu nimeimaliza...
check it out and tell me what you think!
cc : Magembe R. Malima Nyasiro Good Guy
#StayCreative
So sometime back nilipost kwenye jukwaa la "Matangazo Madogo" kuwa nilikua nahitaji kama kuna mtu mwenye miwani za 3D za Anaglyph ( Red & Cyan ) aweze kuniuzia... Lakini kwakwel sio hapa tu bali hata FB sikuweza kupata mtu mwenye nazo, au kama walikuepo basi walipiga kimya...
Kwa miezi ya juzi...
Wakuu za asubuhi!, Mimi leo nimefanikiwa Ku Jailbreak Ipad yangu yenye iOS 7.0.4, nikaona bora niwajuze nyinyi pia jinsi ya kufanikisha,:
Kwanza kabisa kuwa safe make sure una itunes(latest) kwenye computer yako, fanya backup ya Device yako kuwa safe, nenda kwenye device yako na utoe passcode...
Wakuu, baadaa ya kutafuta sana mtandaoni bila mafanikio mazuri nimeona bora niulize huku... Katika web browsers kuna plugins zinazo wezesha kubadilisha user-agent yani kama Google Chrome, ionekane kama internet explorer katika requests zake au browser yeyote nyingine... Swali langu nikua, hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.