Salaam Jamiiforums,
Naombeni msaada wa mawazo, niko na njia mbili ila sijui niifate ipi?
Nimeitiwa mahali kuna kiwanja kinauzwa milioni 20, wakati huo huo nikaitiwa sehemu nyumba inauzwa milion 35. Je, niache kununua kiwanja ninunue nyumba?
Naombeni msaada wa mawazo.
Habari za leo wakuu?
Natafuta eneo kubwa la ardhi (Babati Manyara)mjini liwe karibu na barabara ya lami umeme na maji viwepo karibu na eneo.
Bajeti yangu milioni tano keshi.
Moja kwa moja niende kwenye mada kulinga na kichwa cha habari kinavyojinasibu!
Kwa hakika kuna mahali Dunia haipo sawa na haitatokea kuwa sawa kama hatulindi na kutetea Uhai.
Uhai ni pumzi ya Mungu mwenyeenzi aliyeviumba, Hivyo tuungane kwa pamoja kutetea uhai wa wanyama wafugwao na wale wa...
Habari za mida hii jamii.
Hivi shirika la nyumba la Taifa huwa wanatumia utaratibu gani kuwapangia maraia, hatua zipi mpangaji hufuata kupata hizo nyumba?
Habari za wakati huu wanajamii.
Moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.
Nahitaji kujiunga na Updare wa Kanisa Katoliki, ila kuna baadhi ya maswali sijaweza kupata ufafanuzi wake.
1. Ni umri gani unakuwa mwisho wa kujiunga na upadre?
2. Je, ni elimu kiwango gani kinakubalika ili kuendelea...
Habari za leo wakuu.
Hivi wakuu Chumba kama kinachoonekana kwenye picha kinahitaji shilingi ngapi kukamilika.kiwanja kipo.
Karibuni kwa michango yenu
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.