Search results

  1. comte

    Picha ya Addis Ababa, Ethiopia July 8, 1990 yajibu hoja ya MBOWE juu ya Rais Samia na Kikwete

    Addis Ababa, Ethiopia July 8, 1990. Rais Mwinyi akiwa na Rais mstaafu Mwalimu Nyerere na waziri wa mabo ya nchi za nje Mkapa. Hoja ya Mbowe na CHADEMA kweney maandamano Arusha inakosa nguvu kabisa , ni ya hovyo, na chuki binafsi. Picha kwa hisani ya maktaba ya Salim Ahmed Salim Digital...
  2. comte

    CHADEMA hoja ya Kikwete ni ya ovyo; ana majukumu ya kimataifa

    Ukimtegemea Kikwete akae Msoga wewe utakuwa humjui Kikwete After retiring from distinguished public service career, both in the Tanzanian government and subsequently in international and regional organizations,, President Kikwete has dedicated himself to advancing progressive policies for...
  3. comte

    Ukimzikiliza huu mama unaona uajabu wa wanasiasa wa Tanzania ambao wanadhani lazima washinde na wasiposhinda wanatukana

    https://twitter.com/MSNBC/status/1761567158432125272?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1761567158432125272%7Ctwgr%5E846d6e646e81a2ca35613cddb03e9e5a11890929%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=https%3A%2F%2Fnews.yahoo.com%2Fmajority-south-carolina-republicans-oppose-220610110.html
  4. comte

    CHADEMA imejishusha toka chama cha siasa hadi kikundi cha kinaharakati ilikoanzia

    Hii ni Mbeya + viongozi wote wa kitaifa + waandishi wa habari+kwa yeyote anayejisikia
  5. comte

    Maandamano ya kupinga ugumu wa maisha yanapozuia watu kujipatia riziki na kufanya maisha kuwa magumu zaidi

    Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro...
  6. comte

    Kifo cha Lowassa: Rekodi ziendelee kuwekwa sawa vingenevyo historia itapotea

    Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini; Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya; Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja; Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya...
  7. comte

    Agenda za +255 ya CHADEMA zinazidi kuongezeka

    +255 katiba mpya okoa bandari ugumu wa maisha miswada mitatu Kunyimwa pilau na kuongea kwenye msiba
  8. comte

    Papa na Vatican wataja maeneo ambayo kanisa la RC wanafanya katiba mpya, bandari na tume yauchaguzi hayamo

    Pope Francis meets with President of Tanzania Pope Francis holds an audience with President Samia Suluhu Hassan of the United Republic of Tanzania, expressing their joint commitment to promoting peace in the world. By Deborah Castellano Lubov Pope Francis received the President of the United...
  9. comte

    Tumuomboleze Lowassa bila unafiki. Shule za kata ulikuwa uamuzi wa CCM

    Kunatofauti ya kuamua na kusimamia maamzi. Ujenzi wa shule za kata nchi nzima ulikuwa uamuzi wa CCM na ulikuwa kwenye ilani ya uchaguzi 2005-2010 USHAHIDI HUU HAPA Elimu ya Sekondari 61. CCM itazielekeza Serikali kuchukua hatua za kuendeleza elimu ya sekondari katika kipindi cha 2005 - 2010...
  10. comte

    Maisha ya Lowassa ni funzo kwa midomo michafu ya wanasiasa wa Tanzania

    Lowassa kaondoka. kaenda zake akitupa mda wa kuangalia alimopita Ameonewa sana na kaonea na kila mtu Tulimfitini ili tupate tulichotaka wakati tulipokitaka lakini yeye alibaki yule yule wa kutafuta alichokusudia kupata mwisho wa siku sidhani kama alipata alichokusudia kupata
  11. comte

    Anayedhani Mahakama za Tanzania siyo huru asome hii kesi

    Mahakama yatengua makubaliano yaliyorejesha mali ya Ushirika serikalini Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imetengua hukumu ya Mahakama Kuu iliyohalalisha mkataba wa makubaliano baina ya Serikali na mfanyabiashara Amos Njile, kuhusu umiliki wa ghala la Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Mwanza...
  12. comte

    Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya sheria awaumbua CHADEMA

    https://www.youtube.com/watch?v=0ws8xgGKvhw Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Utawala, Katiba na Sheria, Joseph Mhagama leo Januari 22, 2024 amezungumza na vyombo vya Habari ambapo ameeleza mchakato wa kupokea maoni ya wadau mbalimbali ya mswada wa sheria tatu zilizowasilishwa na Serikali...
  13. comte

    Maandamano ya amani! takwimu zinaonyesha yaweza kuishia kwenye machafuko

    Armed Conflict Location & Event Data Project (ACLED) provides that while a majority of the events analysed did not feature contestation by competing sides, roughly 7 per cent involved some sort of interaction. The police or military were deployed in 5 per cent of events, a substantial number at...
  14. comte

    Kwa maelezo ya Baba Mwita na kuwepo kwa kipindupindu jijini DSM RC yuko sahihi kutumia jeshi JWTZ

    RC, hana mamlaka ya kutoa AMRI kwa JWTZ. Kanuni za jeshi zinamtaka yeye (RC) kufanya maombi kwa fomu maalum kwa Waziri wa Ulinzi ili jeshi lije uraiani. Lakini, kuna masharti, kabla ya kupeleka ombi, ni lazima eneo husika liwe na FUJO (riot) au shughuli hatarishi ambapo jeshi hupelekwa KULINDA...
  15. comte

    Fr. Kitima na TEC mnalijua hili? Msaidieni huyu binti apate haki yake

    "Mdogo wangu anaitwa Teresia Rubeni Mrimi. Ana cheti chake Cha kidato Cha nne kinachoshikiliwa katika Shule aliyosomea iitwayo Mother Theresa of Calcutta Secondary School nayomilikiwa na Kanisa Catholic Jimbo la Same. Mwaka 2014 Fr. (Padre) Emmanuel Yatera alimtembelea Fr. Valentino Luvara...
  16. comte

    Makonda: Siasa imemlipa Mbowe kajenga kasri

    Katibu Mwenezi wa CCM, Paul Makonda amlipua Freeman Mbowe kuwa "siasa imemlipa, amejenga kasri, naenda kulala kwake" https://twitter.com/i/status/1748304440908509446
  17. comte

    Martha Koome: Majaji ni binadamu ambao wanastahili kupewa fursa ya kusikilizwa

    https://twitter.com/i/status/1746907867066597832
Back
Top Bottom