Kitambo sijakuwepo jukwaani.
Nmewamiss sana nikisema nianze kutaja mmoja mmoja sitamaliza. Hivi mnajua ushauri wenu uliniamsha usingizini nikaachana na yale mahusiano sugu.
2024 ni mwaka mzuri sana najisikia huru nina amani kupita maelezo. Niseme asante kwenu[emoji7]
Habari za asubuh wapendwa JF,
Nitumie fursa hii kuwashukuru sana kwa moyo wenu mliouonyesha kwangu. Sio kwamba tatizo limeisha moja kwa moja ila mmeweza kusimama na angalau sasa naweza kutoka nje na nikacheka na watu as if nothing is there which kwangu ni hatua.
Mmenionyesha upendo mkubwa sana...
Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.
Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usiku...
Jamani asubuh kulikua jua. Ila huwezi amin ilipofika sa 8 wingu zito mara mvua hii hapa.
Hata TMA hawajatupa tahadhari kuna kiubaridi haswaa. Jamani vaeni masweta na miguun tupia tusoksi mana tiles zinatia ubarid.
Koroga kahawa au chai ya tangawizi kaa nayo pembeni kama una mzgo wa series huu...
Habari zenu wanajukwaa,
Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake hawa.
Mimi ni single mother niliolewa kabisa tukashindwana tukaachana na mwenzangu kashaoa na ana...
Nimeanza mwaka nikiwa single.
Niliamua kuachana nae rasmi usiku wa mwaka mpya baada ya kuvumilia mwaka mzima. Jamani upweke nyie ni noma😞😞. Mbaya zaidi sijakaa vizuri nikaibiwa simu, natumia kitochi siwezi peruse mtandaoni tena zaidi ninapokua kazini.Upweke unazidi kuongezeka!
Sihitaji...
Hello wapendwa,
Kutokana na changamoto za hapa na pale nmeamua kujihusisha na biashara ya kuuza mafuta ya alizeti. Hali ni ngumu jamani unaweza tamani kujiuza. Ila nimeona kuliko nifikie huko ni bora nitafute rikizi. Nauza elf 30 dumu la lita 5. Ni mazuri kabisa.
Mwenye uhitaji anipm nakuletea...
Habari wadau, naandika huku nacheka jamani ah, okay niende straight kwenye mada tajwa ila kabla sijasema deep naomba niwashukuru wote mlionishauri haswa wale mlioniPM na wengine mmeenda mbali zaidi kuwasiliana na mimi kwenye simu.Mmenisaidia sana!
Basi baada ya ushauri niliamua kufanya...
Imagine ndo umepanga kuonana na mtu leo jamani. Masimu hayaendi, sms usiseme, miamala haisogei yani tafrani. Utajuta yani na ndio usikute uliomba ka emergency kazini kwa siku ya leo, mambo si ndo yashaharibika nyie.
Yani nimewaza ningekua na appointment sijui ingekuaje yaini
Intro: Nviiri the Storyteller
(Ohh, mmh)
Ohh
What a waste
Oh, Lord
The Storyteller, ayy
Verse 1: Nviiri the Storyteller
What a waste
Baby tumejiseti, we on the highway
Tukafunga breki, tukaanza bishana
Asking, “Who is Diana? Vipi mnajuana?”
I swear tumeji-betray, baby tumejiseti
‘Cause love...
Yea
Ace Hood
See mama, all I want you to do is hold it down for me
I want you to be my ride or die
While I go get this money, I promise I'm get us out the hood baby
Even though I'm in the streets
You know exactly what I do
When I chase this paper
You ain't gotta wait for me to bring it back...
Habari wadau, ama kweli yakikufika huna namna utazungumza tu. Mwenzenu yamenifika shingoni na sijui kama nikichukua maamuzi ya kumuacha nitakua nakosea au lah.
Nikiri katika mahusiano yote niliyopitia sijawahi kuwa na mwanaume anayenifanya nijisikie furaha kama huyu kaka.Uhusiano wetu una mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.