Mfano Wilaya ya Shinyanga ina halmashauri ya Manispaa na Sinyanga vijijini, wakurugenzi tofauti na vikao vya madiwani ni tofauti ila mkuu wa wilaya ni mmoja. Halmashauri ni serikali za mitaa ila Wilaya ni serikali kuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.