Wanaume hebu kwanza tujadili hili jambo
Leo hiyi ukiomba mahusiano na mwanamke, awe mdogo au mtu mzima,
Likija suala la kufanya nae sex lazima hapo ajione u special wa mwanamke kana kwamba kile kitendo ni cha mtu mmoja,au ni vile mwanaume pekee ndio anayejisikia utamu
Watu wanasema wanawake ni...
Kwa wale ambao unamashaka na mtoto unazani labda umebambikwa
Au umeenda ugenini unakuta jamaa anadai kuwa umefanana na mmoja kati ya wanandugu wa huyo jamaa
Ishu ni hivi wala usipate shida ya kwenda DNA au ya kupiga simu kwa ndugu zako kuuliza
Cha kufanya kwanza angalia meno yako na yake %...
Mbuzi na simba hatuwezi kaa zizi moja baada ya kuona hili [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Hatimaye nimejitoa naombeni kujua kadi ya uanachama wanairudisha wapi.
Kati ya vitu ninavyoshindwa kuelewa ni kama hili suala.
Naombeni kwanza mniambie mimi mwananchi wetu sehem gani au ni mkoa gani ambao mmejitenga wenyewe
Maana haiwezekani wananchi wenu gharama ya maisha inapanda kiasi hiki alafu mnakuja mnajitokeza mnatoa majibu mepesi kwa vitu ambavyo...
Wakuu naona mpooo
Nimerudi baada ya kimya kingi
Kiufupi baadhi yenu wanawake wa kitanzania mnatukatisha tamaa waoaji
Juzi kati nimepita mtaa fulani hivi nipo na gari yangu yenye bei kubwa kupita zote duniani na ipo moja ndio naendesha mimi
Katika pitapita yangu naenda mitaa fulani hivi...
Mkiitegemea serikali kwenye kila jambo matokeo yake ndio haya mtaililia na lisipatikane jibu
Zaidi mtaletewa siasa mpaka kwenye uhai wenu hao mnao wategemea hawana uchungu na nyinyi
Kwa sababu kila kitu wanapata tena kwa wakati tusidanganyane kwenye karne hiyi hakuna kiongozi mwenye uchungu...
Baada ya kusikia serikali imetoa bilioni 50 kwa ajili ya manunuzi ya mahindi.
Nikaona huu ndio wakati muafaka wa kuuza nikajaza howo zangu tatu mzigo kupeleka kwenye kitengo.
Dah nilichokutana nacho tajiri atabaki kuwa tajiri nae maskini atazidi kuwa maskini hasa kwenye nchi zetu za Kiafrika...
Dah dunia hiyi inamambo
Ni majila ya asubuhi ya tarehe 5/9/2021 natoka zangu hotelini naelekea bus stand kwaajili ya kukata tiketi kuelekea sehemu
Nikiwa njiani nimesimama kungoja bodaboda mara lori linatoka spidi
Kwa mbele yangu namuona mzee mmoja akiwa na pikiki akiwa barabarani nyuma yake...
Baada ya wakulima kuilalamikia serikali na mbunge wa viti maalumu wa CHADEMA kuibua hoja bungeni (hatuwataji covid19 kumbe bado wana msaada kwa wananchi wabunge wa CCM waliunyuti kama haiwausu)
Na wabunge kuijadili
Ndipo serikal imeamua kuongeza bilion 60
Je hiyo hela inakidhi manunuzi kwa...
Hebu tufikirie kwa kina hili swala haiwezekani kwa nchi ya watu maskini kama Tanzania kuwawekea wananchi wako hizi tozo
Kwanini tuendelee kumkandamiza mwananchi tozo kwa kizingizio cha kusema hela inaelekezwa kwenye miladi hii miladi mnayosemea mwanzon pesa mlikuwa mnatoa wapi?
Maana...
Najaribu kuwakumbusha tena mamlaka husika kwenye vitu vya msingi tuweke siasa kando
Na tujalibu kuwaangalia hawa wananchi
Kiukweli bei ya mbolea sio rafiki kwa mtanzania wa kipato cha chini
Na ukiangalia soko la mazao lenyewe bado lipo chini sana hususani zao la mahindi
Nazani mnajua...
Kila mmoja kwa nafasi yake inabidi awajibike kuichangia hii nchi tupate maendeleo
Najua tayari kuna kodi nyingine ila hizi zilizopo sidhani kama zinatosha kuleta maendeleo kama wananchi tunavyotarajia sababu sio wote wanatoa. Nadhani ukiletwa utaratibu mzuri wa hii kodi Serikali yetu itapata...
Kuna jamaa yangu alikuja kuniomba shilingi 50000 nikamuuliza una shida nayo ipi kiufupi hakuwa na jibu la maana maelezo yalikuwa mengi sio siri nikamwambia sina kumbe hela ipo ila hakunishawishi kumpatia.
Alafu kuna mwingine alikuja kwangu ana kiwanja anauza tukaenda kukicheki akanionyesha kila...
Wakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga.
Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza.
Nimejikuta nampenda kias kwamba na shindwa kujizuia kuna muda mpaka nikahama hapa home na kwenda kupanga mkoa mwingine ili kudhibiti hisia...
Husika na kichwa cha mada hapo juu
Serikali yangu pendwa ya Tanzania na wahusika wa hili mimi kama mwananchi na mkulima wa nchi hii
Tunaomba muangalie vizuri kwenye suala hili la mbolea kiukweli mbolea ipo juu sana na sio rafiki kwa mkulima huyu wa chini
Na ukizingatia mazao yenyewe soko lake...
Habari wakuu!
Leo nimemkumbuka mpenzi wangu tuliekutana mazingira tatanish kidogo. Nakumbuka mwaka2013 tulipata tenda nchini Malawi nilikutana na mtoto mmoja hivi kisura ni mzuri kaumbika yeye alikuwa mfanyakazi wa hotel.
Yule manz kiukwel alikuwa fund kiufupi alikuwa inabana yaan ile kuingiza...
Nimekuwa mfuatiliaji sana wa mambo kwa uhalisia wake kwa kipindi kirefu nilichogundua zile taarifa muhimu zinapotolewa kwenye hatua moja na kupelekwa hatua nyingine zimekuwa na chumvi nyingi na sijui wahusika wanafanya haya kwa maana gani.
Siku moja nikiwa mkoa fulani likatokea tukio moja hivi...
Tusiache kutoa ushauri pale panapoitajika.
Kuna anko wangu mmoja nilimpa ushauri kuhusu mwenendo wa mke wake kwa siku hiyo nilionekana mpuuzi leo, yamemkuta mke wake kamtumia watu wampore pesa na kumvunja miguu. Leo analia kama mtoto nakusema anko bora ningekusikiliza.
Na anataka msaada wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.