Ni Bora kwamba wameliona hili mapema. Ifikie sehemu hela za Serikali zisitumike hovyohovyo. Tuwe wazalendo jamani. Hivi kweli 250k, 220k watu wanaenda safari siku 10 , mamilioni. Wakati miundombinu yetu bado ikiwa duni kiasi hiki.
Mimi pia ni mnufaika wa nyongeza tena kwa asilimia 120 lakini...
Basi huyo dada amwambie huyo rafiki yako kuwa anakupenda sana, na kwamba atafanya njia zozote zile akupate!
Baada ya muda mwambie msela wako, kuwa Shemeji anakusumbua sana, na kwa heshima yake unashindwa kuacha kumskiliza, lkn unashindwa kufanya anachotaka! Then, umblame kwa kumuacha na...
Hapa Sabasaba kumenoga aiseee. Watoto ni wakali balaa. Mmoja kanasa tumepata nae chakula Cha mchana, saa 11 tukafanye yetu. Cha kushangaza, nimepata hofu ya ndoa. Duuh nafsi inapambana, dk zinakaribia! Tuombeane tu jmn!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.