Hivi wabongo freemason mmeijua mwaka jana nini.? Kila celeb w kibongo sasa hvi mnasema ni masonic, hvi mnajua kwamba freemason sio kama mnavyoichukulia nyie., its not that simple.. Kuna hadhi ya watu na vigezo vya kuingia freemason.. Kwanzia pesa uliyonayo na power uliyozaliw nayo kumanipulate...
Kuna mambo mengine huwa tunayachukulia poa ila yana umuhimu sana wa kuyazingatia. wasanii wetu inabidi wajipange tena sana., Jana ndani ya HotMix show ya EATV walikuwa na msanii anayeitwa sam wa ukweli, ambapo "according to him" ilikuwa ni birthday yake hiyo jana., alipoulizwa kazaliwa mwaka...
true kabisa.. nadhani wengi wanafanya kwa sababu hiyo., maana mbali ya hapo hainiingii akilini kwa nini mtu adanganye umri., kwa wale wanaojiongezea nadhani ni kwa sababu wanataka fanya mambo yasiyokubalika na jamii kwa umri wao,
its a nice show, sema tu ipo mwanzoni... competition yoyote ikiwa mwanzoni inaboa hadi mchujo upite., mf. Tusker pro. fame au Bongo star search, inaboaga mwanzoni but after mchujo wakibaki wanaoweza ndipo unapoanza kuona uzuri wake.. so never judge a competition show ikiwa stage za mwanzoni...
Huyo nadhani ndio mwalimu wao., utasikitika ukiziona picha zake za send off na harusi yake., she looked soo ugly yani., sababu ya mkorogo nadhani make up zilimgomea
I wonder what happened to keeping it real. Madada zetu siku hizi wanasikitisha sana. Nilikuwa nampenda sana Wema hasa kutokana na uzuri na mvuto wake.
Wema alikuwa ana rangi nzuri sana kipindi cha nyuma kabla hajaanza kujichubua., sijui nani amemdanganya weupe ndio dili. Ukiangalia picha zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.