Katika chapisho la kwanza nilieleza namna mapendekezo ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA yasivyoweza kutupatia Katiba mpya, bora na shirikishi kama alivyosema. Kwa ajili ya kumbukumbu, Freeman Mbowe alisema kuwa Rais aunde Tume huru ya Katiba. Tukamwambia haiwezekani, swala la Tume ya...
Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo!
Kwa ajili ya kumbukumbu, nimekusudia...
Ukiwasikiliza CHADEMA katika madai yao ya Katiba mpya, utakubaliana nami kuwa hawana wanachokijua kuhusu madai yao au hawako serious na wanachokidai. Wote Viongozi na Wanachama wanaimba wimbo wasiouelewa mtiririko na mwisho wake. Wanaimba tu, ilmradi wasikike. Wanapoteza muda!
Ili kuthibitishia...
Siku nyingine tumia akili yako vizuri. Unadhani hisa za Serikali (TTCL) zilizoibiwa katika kampuni ya Celtel (sasa Airtel) hazikuwa katika maandishi ya kisheria?
Mhandisi Robert Gabriel karibu Mwanza. Wenyewe tunaita Rock City, Jiji la Miamba. Wewe sio mgeni Kanda ya Ziwa, unatufahamu. Bado tunaimba na kuomboleza!
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila alipotoshwa na yeye akapotosha umma, wewe usirudie kosa hilo. Tafuta chapisho langu la...
Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Serikali iliyotolewa tarehe 05 June, 2021 imebainisha kwamba Rais wa JMT amepokea tayari taarifa mbili kutoka katika Kamati aliyoiunda kwa ajili ya kufuatilia na kuishauri Serikali namna ya kupambana na gonjwa la corona. Taarifa ya kwanza ilikua ni yenye maoni ya namna...
Rais wangu, nimekusudia kuendelea kukuandikia kwa nguvu zangu zote. Ninafanya hivi kwa utambuzi kuwa haya ndio mapenzi yangu kwako, ndio wajibu wangu wa msingi kama Mwana-CCM na Mwananchi mwema wa Tanzania. Wakati wa JPM nilifanya kazi hii kwa kiwango kizuri, licha ya masimango niliyoyapitia...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila ametangaza ziara ya Rais wa JMT katika Mko wa Mwanza itakayofanyika kuanzia tarehe 13 hadi 15, Mkoani Mwanza. Katika ziara hiyo, RC Chalamila amesema Rais Samia Suluhu pamoja na mambo mengine atatembelea na kufungua kiwanda cha usafishaji (uchenjuaji)...
Maoni yangu:
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ametoa taarifa ya utendaji wa Serikali kwa siku 78 za Rais Samia Suluhu ofisini-Ikulu. Pamoja na mambo mengi mazuri, taarifa hiyo ina mapungufu kadhaa kwa maoni yangu, kama ifuatavyo:
1. Mkataba wa Gesi Da'slam-Mombasa
Taarifa ya Msemaji...
Nimechagua kupita njia hiyo kwa sababu wenzetu wametangulia. Kama sio kulifanya swala la Sabaya kuwa kisasi cha Ubunge wa Freeman hata mimi (sisi) tungaliacha mambo yaende inavyostahili. Kwa sababu wenzetu wameanza, sisi tumaomba tumalize. #HatutoiPointTatu.
Hapana. Hii ndio rasmi, ni bahati mbaya nilichelewa kujumuika katika jukwaa hili, mimi sio mwenyeweji humu. Matusi, kashfa na maoni yasiyozingatia utu vilinichelewesha lakini hata hivyo muda ulipofika sikua na chaguo. Kwa maneno hayo, hii ndio ID yangu rasmi.
Sio rahisi kupata maumivu katika maoni rahisi yaliyofunikwa na chuki, ubinafsi, hasira, visasi na ushabiki. Maoni yenye kupingana na msimamo wa maneno ya Mungu hayawezi kuumiza nafsi iliyoshiba msamaha. Ninaendelea kuwasamehe wote wenye kuona tunapaswa kulipa visasi katika maridhiano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.