Search results

  1. MenukaJr

    Udhaifu wa mapendekezo ya CHADEMA kuhusu Katiba Mpya

    Katika chapisho la kwanza nilieleza namna mapendekezo ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA yasivyoweza kutupatia Katiba mpya, bora na shirikishi kama alivyosema. Kwa ajili ya kumbukumbu, Freeman Mbowe alisema kuwa Rais aunde Tume huru ya Katiba. Tukamwambia haiwezekani, swala la Tume ya...
  2. MenukaJr

    Tatizo la Tanzania sio Katiba Mpya bali utii wa Katiba iliyopo

    Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo! Kwa ajili ya kumbukumbu, nimekusudia...
  3. MenukaJr

    CHADEMA, Askofu Mwamakula hawakijui wanachokidai

    Ukiwasikiliza CHADEMA katika madai yao ya Katiba mpya, utakubaliana nami kuwa hawana wanachokijua kuhusu madai yao au hawako serious na wanachokidai. Wote Viongozi na Wanachama wanaimba wimbo wasiouelewa mtiririko na mwisho wake. Wanaimba tu, ilmradi wasikike. Wanapoteza muda! Ili kuthibitishia...
  4. MenukaJr

    Chalamila alipotoshwa, Mhandisi Gabriel usikubali

    Hata hisa za Serikali zilizoporwa katika Celtel zilikua katika utekelezaji chini ya wizara ya mawasiliano.
  5. MenukaJr

    Chalamila alipotoshwa, Mhandisi Gabriel usikubali

    Siku nyingine tumia akili yako vizuri. Unadhani hisa za Serikali (TTCL) zilizoibiwa katika kampuni ya Celtel (sasa Airtel) hazikuwa katika maandishi ya kisheria?
  6. MenukaJr

    Chalamila alipotoshwa, Mhandisi Gabriel usikubali

    Mhandisi Robert Gabriel karibu Mwanza. Wenyewe tunaita Rock City, Jiji la Miamba. Wewe sio mgeni Kanda ya Ziwa, unatufahamu. Bado tunaimba na kuomboleza! Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila alipotoshwa na yeye akapotosha umma, wewe usirudie kosa hilo. Tafuta chapisho langu la...
  7. MenukaJr

    Kuhusu Corona, Serikali isiturudishe nyuma

    Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Serikali iliyotolewa tarehe 05 June, 2021 imebainisha kwamba Rais wa JMT amepokea tayari taarifa mbili kutoka katika Kamati aliyoiunda kwa ajili ya kufuatilia na kuishauri Serikali namna ya kupambana na gonjwa la corona. Taarifa ya kwanza ilikua ni yenye maoni ya namna...
  8. MenukaJr

    Rais wangu Samia, ukifungua milango usiondoe pazia!

    Rais wangu, nimekusudia kuendelea kukuandikia kwa nguvu zangu zote. Ninafanya hivi kwa utambuzi kuwa haya ndio mapenzi yangu kwako, ndio wajibu wangu wa msingi kama Mwana-CCM na Mwananchi mwema wa Tanzania. Wakati wa JPM nilifanya kazi hii kwa kiwango kizuri, licha ya masimango niliyoyapitia...
  9. MenukaJr

    Mwanza: RC Chalamila anapotosha au amepotoshwa?

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila ametangaza ziara ya Rais wa JMT katika Mko wa Mwanza itakayofanyika kuanzia tarehe 13 hadi 15, Mkoani Mwanza. Katika ziara hiyo, RC Chalamila amesema Rais Samia Suluhu pamoja na mambo mengine atatembelea na kufungua kiwanda cha usafishaji (uchenjuaji)...
  10. MenukaJr

    Mapungufu ya Taarifa ya Utendaji wa siku 78 za Rais Samia Ikulu

    Maoni yangu: Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ametoa taarifa ya utendaji wa Serikali kwa siku 78 za Rais Samia Suluhu ofisini-Ikulu. Pamoja na mambo mengi mazuri, taarifa hiyo ina mapungufu kadhaa kwa maoni yangu, kama ifuatavyo: 1. Mkataba wa Gesi Da'slam-Mombasa Taarifa ya Msemaji...
  11. MenukaJr

    Rais Samia Suluhu tumsamehe Sabaya, inatosha

    Asante. Na nitendewe kama ulivyonena ikiwa inanistahili!!
  12. MenukaJr

    Rais Samia Suluhu tumsamehe Sabaya, inatosha

    Tumehimizwa kusamehe saba mara sabini. Msamahani ndio msingi imara wa maridhiano!
  13. MenukaJr

    Rais Samia Suluhu tumsamehe Sabaya, inatosha

    Atamsamehe kwa kosa litakalothibitishwa na Mahakama.
  14. MenukaJr

    Rais Samia Suluhu tumsamehe Sabaya, inatosha

    Nimechagua kupita njia hiyo kwa sababu wenzetu wametangulia. Kama sio kulifanya swala la Sabaya kuwa kisasi cha Ubunge wa Freeman hata mimi (sisi) tungaliacha mambo yaende inavyostahili. Kwa sababu wenzetu wameanza, sisi tumaomba tumalize. #HatutoiPointTatu.
  15. MenukaJr

    Rais Samia Suluhu tumsamehe Sabaya, inatosha

    Hata mimi nimemshauri afanye hivyo kwa wakati huo.
  16. MenukaJr

    Rais Samia Suluhu tumsamehe Sabaya, inatosha

    Hapana. Hii ndio rasmi, ni bahati mbaya nilichelewa kujumuika katika jukwaa hili, mimi sio mwenyeweji humu. Matusi, kashfa na maoni yasiyozingatia utu vilinichelewesha lakini hata hivyo muda ulipofika sikua na chaguo. Kwa maneno hayo, hii ndio ID yangu rasmi.
  17. MenukaJr

    Rais Samia Suluhu tumsamehe Sabaya, inatosha

    Sio rahisi kupata maumivu katika maoni rahisi yaliyofunikwa na chuki, ubinafsi, hasira, visasi na ushabiki. Maoni yenye kupingana na msimamo wa maneno ya Mungu hayawezi kuumiza nafsi iliyoshiba msamaha. Ninaendelea kuwasamehe wote wenye kuona tunapaswa kulipa visasi katika maridhiano.
  18. MenukaJr

    Rais Samia Suluhu tumsamehe Sabaya, inatosha

    Hivyo ndivyo umenielewa. Wengine wamenielewa tofauti, kwa vyovyote kila mmoja aelewe anavyoweza isipokuwa wote tunakutana katika msamaha.
Back
Top Bottom