Wakuu ..
Tukubaliane tu bila kupepesa macho.
Ukweli mchungu hii Miamba miwili Dr@Christopher Cylilo na Kaka mkubwa kilawa Shindo wameishi maisha ya sekeseke Sana kipindi Cha Awamu ya 5.
Huwa kila nikikumbuka Hawa jamaa walivyopambana na wasiojulikana wanaojulikana huwa nacheka Sana...
Wakuu,
Tusameheane tu nimekulia nyumba ambayo baba, Mama, Bibi na Babu wote kwa ujumla na rejareja ni CCM.
Ukweli mchungu CCM HAIJADHAMIRIA kutuletea maendeleo ya kweli watu wa kusini, ukiangalia nguvu inayotumika awamu hii kuwekeza Kanda Kanda ya ziwa na kaskazini ni dhahiri mmetuona watu wa...
Wakuu,
FRIJI liwe na sifa zifuatazo
Used kubwa 1.5 au 2 size
Lisiwe chakavu
Lisiwe na hitilafu yoyote
Linaweza kuwa Aina ya Boss and the like but the Boss much prefered..
Uwe tayari kunisafirishia
Malipo baada ya makubaliano.
Inbox
Ahsante..
Wakuu,,
Nina Hasira kwa kiwango Cha PGO huwezi amini. NMB nyie Ni wachamungu wezi na Kama wezi wengine tu ...licha ya kuwa na wateja wengi.
Ipo hivi kwenye mabango ya malipo ya korosho huwa mnapunguza pesa kiwizi Sana huwa mnashirikiana na makatibu au mmeamua kujiongeza KUTUIBIA WAKULIMA.
Mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.