Uchumi ukitegemea mitaji ya nje saana ndo hivo kama tunavotegemea World Bank na IMF tusubiri kama tutaja endelea. We amka tia mkono wako katika kazi unayopaswa kuifanya...ongeza ufanisi wa kazi yako utaona matunda yake. Kelele hizi mitaji inaondoka...tukuze mitaji yetu ambayo haitaondoka maana...
Dini yangu ni Tanzania kama hiyo dini ni ya kiislam au ya kikristo ni safi tu...ila kitu chochote kinachoendekeza kuwa kuna mtanzania bora kuliko mwingine hiyo dini ningesema itokomee baharini mbali kabisa na mipaka ya nchi yetu
Kwani mnashangaa nini hata miaka ile alikuwa anatoa siku saba mke au mme kurudiana na mwenzake bila kujua kama kumbe wote walikuwa majipu yasiyoweza kuwa pamoja
Wasije wengine wakarudisha Dar tena ...itungiwe na sheria kwenye katiba kwamba haitahama tena hadi labda baada ya miaka mia vinginevyo uh akiingia huyu utasikia naye anarudisha Dar ili Dili zikapigwe kikwelikweli bandarini na kwingineko. Duh ila kuna watu wamekosa Dili maana walikuwa maarufu kwa...
Anyway kwa sasa wote hawa wawili ni magwiji wa fani ya uchumi...wote wakiwa wameshawahi kuwa washauri wa Benki ya dunia kwa namna moja au nyingine na wote wakiwa na exposure kubwa tu kwa masuala ya fedha na biashara za kimataifa. Sijui aliyemalizia uwaziri wa fedha siku hizi ana cheo...
Mkuu nakubaliana na mantiki yako ila kasoro yake ni hii: Ujuzi lazima upite mikononi mwa mwingine. Unataka kusema tusitumie ndege au gari kwa kuwa kabla mzungu hajaja hatukuwa na vitu hivyo? Nadhani tulipewa akili na uwezo wa kutambua mambo fulani ya maisha tusiyaache tu kwa vile yanatoka kwingine.
Mi sijui tatizo ni nini hapa, kama TRA wamekosea au Prof kakosea...si hoja we nenda weka pesa yako benki na utajua maana yake maana makosa yao si hoja kama VAT inalipwa.
Mikono salama si mahali ambapo mtu hawezi toroka? Panajulikana sijui nini kigumu kuelewa hapa. Hii si ya kwanza kumbuka sakata la Richmond ilikuwa ni milioni 153 kwa siku kutoka kampuni moja tu iitwayo TANESCO
Mazingira ya biashara Tanzania ni mazuri na kodi si nyingi...kama kodi zinakwepwa kwa namna hiyo mazingira yatakuwaje mazuri. Mi sipendi ubaguzi ila nahisi wafanya biashara wengi wa Tz si tu kwamba hawana uzalendo bali si wazalendo kwa maana halisi na hivyo hawaoni haja ya kulipa kodi. Kusema...
Nahisi kuna mambo mengi ya kushughulikia yanayowagusa wananchi wengi kuliko kujikita katika issue inayohusu watu wasiofika hata asilimia moja ya watu wa mkoa wake! Pili sijui atawashughulikia kivipi wanaoingia uwanja wa taifa toka kwao maana sheria za uhamiaji haziwakatazi kuja kutalii...
Uh Zanzibar tu inatutoa udelela tuongeze tena mambo ya 1994? Haya jaribu ila haina haja maana ni marafiki zetu ni ndugu zetu tunaishi vema si lazima tuungane ila tufungue mipaka tu ya kuhusiana vema na biashara nzuri...tutaishi bila matatizo
Naamini bado mfumo wetu wa inteligentia ni mzuri na unao uwezo hata ku 'dukua' mawasiliano hasa ya majirani zetu na karibu na mbali. Tatizo tu ni pale unapogeuka kuwa wa chama tawala. Sumu hiyo anayeiingiza ajue anaingiza nchi yetu katika janga kubwa maana vyama vinaongozwa na itikadi na itikadi...
Jitihada za serikali kudhibiti wauzaji wa hovyo wa sukari ni 'genuine' kitu kinachotushinda kuelewa hapa ni kuwa Tanzania ina viwanda kadhaa vya sukari kikiwemo hicho cha Mtibwa ambako Mkapa ana mashamba ya miwa. Lkn kama ungesafiri kufika kule mahali utagundua yeye si mkulima namba moja wa...
Ndgu usibweteke kama hujibidishi eti herufi itakusaidia...wewe hata kama una 0 kwenye kiganjwa chapa kazi utaona matunda yake. Au kuwa na M halafu kaa utaona kama utapata ugali...hapa kazi ndo mpango mzima
Twaweza kuita chochote ila mimi kama mtu anaona kaonewa kufukuzwa kazi si aende tu mahakamani? Hata kwenye private sector wako wanaoonewa na wanaenda mahakamani kutafuta haki zao...! Rushwa na wizi ulipotufikisha watanzania tunahitaji nguvu ya ziada kutoka kwa viongozi ili hatimaye tuweze kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.