Nimesikitika kuwa uliacha kwenda kufanya mazoezi kwasababu mkeo alikukataza, bro wewe ndo baba wafamilia una uwamuzi wa mwili wako mkeo na watoto wenu hata kama unampenda vipi usikubali akutoe kwenye mstari, na anakusoma vile unakubali anyokwambia Siku atakuzua kufanya vya muhimu zaidi ya hivyo...
1: kukataa lockdown wakati wa kori
ona na kupelekea uzalishaji kuendelea na kupiga hatua kiuchumi
2: Kusaka na kuachisha kazi wenye vyeti feki na kuruhusu vijana wenye vyeti halali wanaosota mtaani kushika nafasi jambo ambalo viongozi wengine hawakuwa wamefanya
3 : Kujenga bwawa LA nyerere...
Habari wanakundi, Mimi ni binti wa miaka 29, naishi dar.
Mimi ni wakawaida kabisa,
Mrefu kiasi,
Maji ya kunde,
Mkristo(SDA)
Sijasoma sana,
Asili yangu ni kanda ya ziwa,
NATAMANI NIKUTANE NA HUYU MWANAUME.
1. Anayemcha Mungu na awe
Mkristo
2. Asiwe Mme wa mtu,
3. Awe na umri kuanzia...
Pwani hakuna kesi za ukatili kwa sababu mwanamke anapoona dalili za ukatili anadai talaka haraka tena kwa mda mfupi tu anasepa.
Wanawake wengi wa bara wanafanyiwa ukatili kwa sababu kudai talaka sio destuli yao. Wao wanachojua ni kuvumilia tu, mwishowe yanawakuta hayo.
Kwahiyo ndoa zinazodumu...
Pwani hakuna kesi za ukatili kwa sababu mwanamke anapooana dalili za ukatili anadai talaka haraka tena kwa mda mfupi tu anasepa.
Wanawake wengi was bara wanafanyiwa ukatili kwa sababu kudai talaka sio destuli yao. Wao wanachojua ni kuvumilia tu, mwishowe yanawakuta hayo.
Kwahiyo ndoa...
Ukweli ni kwamba bado hajakupenda ndo maana anaandaa njia za kukupiga vizinga. Mwanamke akikupenda hakuombi hela angalau baadae sana tena kwa shida kweli. Endelea kupiga sound bro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.