bandari ni mali ya umma , tunamaslahi nayo kama umma WA WTZ , Akodishe bandari ya zenji siyo Bandari za Tanganyika , hana uzalendo huyo mtu wenu wa kijani kutoka zenji , ameshauza mbuga za wanyama sasa bandari zetu....
halafu unakuta Waziri badala ya kufanya kazi ya kutatua kero za wanachi kwenywe wizara ana promote private property ,anatembea na mitunga ya gas vijijini usiku ,machana alimradi apate chochote 10%kijani jamaani mtuhurumie ,umeme unakatika ,operation hospitalini zinafanyika kwa Generator ikipata...
uko sahihi kwa 100% halafu kwanini 57trillion cubic feet ya gas yetu wamewapa wazungu????? Kijani ni msalaiti wa Taifa hili, leo gas ingukuwa inauzwa kwa sh 5000 mtungi mdogo
Frankly speaking mimi niko mining sekta , wataalamu wetu yaani Mining engeneers, etc ni weupe once wanapoajiriwa mpaka wapegwe msasa na hao exparts from Australia, canada and South Africa ...
ni kweli kijani bila deep state ni plain white paper.....anyway hongerini Deep state kwakuwa mstari wa mbele kuhakikisha nchi hii inakuwa salama mpaka leo ,,,maana bora mmoja aondoke ili 61 millioni wabaki salama bila kujali yeye ana wadhifa gani.....
Thomas Sankara hakuwahi kuwa na walinzi, unafikiri kwanini risasi na siyo hayo unayosema....mlinzi wao ni Mungu pekee aliyemwokaoa Lissu na wale wadhalima waliotaka kutoa roho yake bila sababu yoyoye , hakuwa jamabazi walipiga hoja kwa rungu wale vipofu wa siasa za kistaarabu...
embu cheki corruption katuka Taifa letu, ubadhilifu wa fedha za umma, refer report ya CAG ya kila mwaka , uwizi uwizi, uwizi, everywhere, mikataba isiyozingatia maslahi ya Taifa, uporaji wa ardhi ya wananchi kwa kisingizio cha uhifadhi ....Kijani imechooka kufikiri sasa inaenda ku crash , ni...
uko sahihi mkuu mpaka tutakapoacha uchawa hii nchi ndiyo itakuja kuendelea....01,kuwe na kampuni za serikali state owned companies ambayo kila tenda ya serikali ipewe kampuni zetu ili tuepuke kupeleka pesa zetu china ,,,kuwe na 50%50% win win situation kati ya serikali na muwekezaji haswa kwenye...
Taifa bado linawahitaji hawa jamaa uzalendo wao hauna kipimo ,,,kwa sasa tuna freedom of speech ...but kuna changamoto ya kizalendo , sasa hivi kuna mtu anapewa eka 36,000 wakati wananchi wanakosa ardhi ya kulima ,,population kwa sasa ni 61 Million ardhi ni ileile .Huo ni mfano mdogo tuu , iko...
Yaani honestly speaking 57 trilion cubic feet of Tz Natural gas ni mali ya Western powers it has little impact on our economy ....hii inatokana na mikataba mibovu ambayo tumeingia nao hao western powers ....TPDC wana 14% Only , kwanini Botswana waliweza 50%50% kwenye dimond kwanini sisi...
woote wanamla wala sishangai biashara hii inayumba saana wakati wa mwezi wa toba ,,,,kwakuwa nusu ya population wanakuwa kwenye mfungo ,,,wewe mche mola wako achana na vyakula utamiza kichwa tuu bro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.