Amani na upendo kwenu nyote!
Kwanza nikiri wazi Mimi nimefanyakazi ktk kiwanda hiki katika vitengo mbalimbali jikoni, nondo na skrepa toka 2018 Hadi 2021 oktoba nikaacha kazi, jamaa na rafiki zangu wanaendelea kutaabika na kupata mateso mpaka sasa.
Katika kiwanda hiki Kuna MATESO NA...
Salamu kwenu wakuu,
Kuna kijana amepata D ya physics, C ya biology na Chemistry na math kapata F, jumla ana Division 2. Je, huyu course za Afya vyuo vya serikali au binafsi anaweza kukubaliwa?
Asanteni
Habari wakuu!!
Hadi Sasa nimejaribu Sana kuapply NACTE lakini nimeshindwa,
Naomba msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia au amefanikiwa kumaliza kuapply NACTE!!
Mpaka Sasa nimejisajili na password na username wamenipa, tatizo kwenye kuchagua chuo, kila niki-log in ili nichague chuo inafeli...
Tanzania itajengwa na wazalendo,
Natumaini ndugu zangu mnaendelea vema na majukumu yenu.
Kwa Sasa Vyama vya upinzani Tz inabidi watumie huu muda kujikita ktk mizizi kabisa kwa wananchi.
CCM Sasa wapo ktk malumbano na Tahamaki kubwa hasa baada ya Kifo Cha JPM. Hii Ni nafasi adhimu Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.