Search results

  1. S

    Umewahi kusoma kitabu, The Richest Man In Babylon? Ulijifunza nini? Kinasaidia?

    Nitaendelea kesho, lazima nimalize kitabu hiki na niki-apply kwenye maisha yangu.
  2. S

    Mwanamke akikuambia hivi ujue anakudanganya!

    Mmmh!!! Kwahiyo hata mwanamke akitoa machozi mbele yako bado atakuwa ni mwongo
  3. S

    Njia 4 unazoweza kuzitumia kujua wito wa maisha yako

    Who are you? What is your calling? What's real matters in your life? What do you want the next generation to remember from you? Shukrani kwa ku-share jambo hili mkuu.
  4. S

    Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

    Kanisa katoliki lazima lijitathimini, kila siku maswali yanaibuka dhidi yake. Kuna kitu hakiko sawa.
  5. S

    Tabia ya kulalamika hufanywa na watu wazembe na malofa

    Taikon wa fasihi hupoi, huboi, ni full Moto. 👍👍👍
  6. S

    Baraka hutoka kwa Baba; Laana hutoka kwa Mama, utaamua mwenyewe

    Mwanafalsafa Taikon, mtu na fasihi yake. Nashukuru kwa ku-share nasi mawazo yako.
  7. S

    Umewahi kusoma kitabu, The Richest Man In Babylon? Ulijifunza nini? Kinasaidia?

    Ahsante sana mkuu, nikimaliza The Richest man in Babylon kitafuata hicho.
  8. S

    Umewahi kusoma kitabu, The Richest Man In Babylon? Ulijifunza nini? Kinasaidia?

    THINK AND GROW RICH by Napolean Hill, kitabu hiki kimenisaidia sana katika kuhakikisha naendelea kusonga mbele kwa Jambo ninalolifanya yaan kutokukata tamaa. Pia kimenisaidia kuwa na jicho la tatu la kuona mambo mbalimbali, hususani katika kusimamia ndoto na malengo niliyojiwekea bila...
  9. S

    Umewahi kusoma kitabu, The Richest Man In Babylon? Ulijifunza nini? Kinasaidia?

    Nimejiwekea lengo la kusoma kitabu kimoja kila mwezi, nimeshamaliza THINK AND GROW RICH kwenye timetable kinachofuata ni hiki THE RICHEST MAN IN BABYLON. Shukrani sana kwa kushare kitabu hiki.
  10. S

    Dark days 17/03/20...

    Daaah!!! Huwa najiona na miakili sana, kumbe me mdogo wapo wenye maakili yao, yoga ni miongoni mwao.
  11. S

    Umejiandaaje pale Familia yako itakapokutenga?

    Taikon wa fasihi naikubali sana kazi yako. Huwa nikiona uzi wako lazima nimpe simu mdogo wangu nae apitie madini yako maana yeye hana smartphone. Hongera sana mkuu kwa kumulika nyanja mbalimbali za maisha.
  12. S

    Tuache siasa, ajira zipo za kutosha Tanzania kwa wanaojua Kiingereza kwa ufasaha

    Elimu elimu elimu! Bado Kuna shida kwenye elimu yetu, wasomi wapo wengi lakini bado hatuendani na matakwa ya ulimwengu huu. Ulimwengu wa Leo unahitaji watu wanaotumia ubongo wao vizuri sambamba na elimu zao kwa kubuni, kuanzisha miradi , kuchimba na kutafuta ukweli kwenye changamoto...
  13. S

    Somo nililopata kupitia kwa Hayati John Pombe Magufuli

    Wakati wazee wakisimulia habari za Nyerere, Basi vijana wa miaka ya 90 na 2000 watasimulia habari za shujaa Magufuli.
  14. S

    Somo nililopata kupitia kwa Hayati John Pombe Magufuli

    Leo ikiwa ni mwaka mmoja umepita tangu Rais wa awamu ya tano Hayati John Pombe Magufuli afariki, nimekaa chini muda fulani nikatafakari siku hii ya kumbukizi ya kifo chake, Kuna somo nimelichukua kupitia kwake. Kwa kulinganisha kipindi akiwa hai na baada ya kutuacha, somo hilo ni kutokuogopa...
  15. S

    Tukutane hapa tulioishi familia za kitajiri ila sasa maisha yametuchapa

    Uzi huu!!! unasoma comments nyingi na wala hauchoki...
  16. S

    Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu

    Yaani baba Rais mstaafu, mtoto anakuwa Rais tena, hivi kweli watanzania milioni sitini wote hao hakuna wakuchukua nafasi hiyo?!!!. Kweli Kama ambavyo maji hutiririka kutoka nchi kavu kuelekea baharini kwenye maji mengi, basi na uongozi wa Tanzania upo hivyo.
  17. S

    Familia ya watu 10 kutumia milioni 3 kwa mwaka kwa manunuzi ya vyakula

    Shukrani sana kwa ushauri mzuri, bado naendelea kuweka mipango mizuri, maana Mimi nimepitia mabegani mwa mzee wangu, basi na Mimi ninalo jukumu la kufanya hivyo kwa wale wanaonifuata.
  18. S

    Familia ya watu 10 kutumia milioni 3 kwa mwaka kwa manunuzi ya vyakula

    Maisha ya pembeni mwa mji matamu sana yaani, nakumbuka baada ya kumaliza chuo nilikuwa nakaa mjini kwenye nyumba ya mzee wakati huo sina ramani yoyote, ukiamka asubuhi unakuwa bored sana hususani kwa wale tunaopenda kujishughulisha. Bahati nzuri mzee alinunua eka mbili pembeni huko, basi...
  19. S

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    "Ni bora kushindia kipande cha mhogo kuliko mkate wa masimango" --- JPM
Back
Top Bottom