Mkuu walinzi wa custom pale Wana mambo ya hovyo Sana mm tulifikishana mpaka polisi kisa nimepiga picha kwenye parking ya malori ila Ngoma iliwageukia wakaanza kuniomba niwapoze hata Hela ya mafuta kidogo coz walitumia gari yao ila nikawakazia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.