Wewe usituchekeshe, waisalam mna shida laa tukubaliane,tena nashangaa kuona mtu anasema tusihusishe uislam na uchomaji moto makanisa, wao wenyewe wamesema sasa unatwambia nn? mimi sasahv siwapendi kupita maelezo,nlikuwa nawaona ni ndugu lkn baada ya kuchoma kanisa langu ambalo tulijinyima na...
Wewe unayejiita Mch. hata sikuelewi,wewe kama ni mkwel kwa unayozungumza unaushahidi na hayo malipo ya mtaa wa ufipa? muogope Mungu,kuwa mpambe lakn ujue Mungu anahesabu kila mawazo,maneno na matendo yako!upambe wako usikufanye kuwa muongo ili unogeshe stori na kutetea vitu usivovijua.
mimi hata sijui nan afadhali ila naona serikal na specifically wzr ya ardhi imeshindwa kaz!yan kuna maeneo sahz yamekuwa mapori ya kujifcha vibaka kisa serikal imesema mrad wa Lugurun umesitishwa na watu wasiendeleze kitu chochote
Siko hapa kushindana maneno na wewe maana naona mnafanana kwa kiasi kikubwa! Hapo nmetoa clarification watu wajue mchumi daraja la kwanza manake nini!hzo A unazijua wewe aliekuonyesha vyeti ingawa nazo sio hoja kuna wengi wana A lakini ni vilaza vile vile!
Kuna watu wanafurahisha sana wanavopenda kutumia uelewa mdogo wa watu kujitwisha misifa. Nlimsikia bungeni mbunge mmoja anajisifia eti yeye ni mchumi daraja la kwanza. Kwa watu wengi wasioelewa taratibu za kupandishwa vyeo serikalin wanaweza kudhan kuwa yeye ni kichwa ile mbaya au alifaulu mno...
ha ha ha nimefurahishwa na huo mfano wa mtoto wa miaka 12 anashika nafac ya 2 chekechea!it is a valid example for our nation, 50 yrs of independence lakini maendeleo mhhh
Jaman waislam hawatakaa waishi kwa amani mpk mwisho wa dunia, nadhan walitakiwa kuwa na dunia yao ingawa sidhan sana kama ingesaidia maana tunaona huko afghanistan shia na suni!wakristo wanautaratibu wao wa kujua idadi ya waumini wao nenda makao makuu kkkt utaambiwa au R.c sasa wao kwann...
Acha kuwa mbishi bila sababu!hivi vitu viko waz hata magazeti yanaandika kila siku! hayo mambo ya eti katumi Reeach Design gan hayana nafac ni mbwembwe zako ila ukweli ndo huo! UDSM wanakozi nyingi mchanganyiko compared na SUA ambapo more than 85% ni pure SCIENCE.
Nnachoweza kusema ni kuwa waislam ni wabaguzi kuliko kitu chochote kwahyo kuolewa na muislam ujishike haswa hata ukibadili dini bado wanakuona una element ya ukristo na kama utabaki na dini yako ndo utaitwa kafiri tena! Tatizo ni watu wanaopenda kujihesabia haki mno utaadhan waliambiwa ukitaka...
Dah mi najiuliza sijui dini nyingine zilitoka wapi!dini ambayo inalaziisha watu wote tuifate hyo otherwise ndo tuchomewe makanisa?hivi kwan kwenda peponi si ni hiari ya mtu ndomana tumepewa utashi, iweje sasa dini yako inalazimisha watu wote waifuate! kila leo ukisikia mihadhara wakristo...
maendeleo yashatushinda, ubunifu wa vipindi vya kuhamasisha watu kuwa wazalendo nao hatuna basi acha tuburudike na mkasi afu mwisho wa siku tunaenda ulaya kubeba box na kuomba uraia wa huko!
wewe usituyeyushe si uwataje sasa maana unawajua!afu na wewe mie nlivokuwa nakuona kumbe sio kabsa yan nawewe unaweza kutoa rushwa!!!!i thought you were among those few solutions we have kumbe mweupeeee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.