Wakuu,
Nayasema haya, siyo kwa upendeleo bali ni ukweli mtupu hata ninyi mnaweza kuwa mashuhuda jinsi ITV inavyoripoti kutoka Mahakamani kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe na wenzake.
Kwenye taarifa zake za habari, ITV huweka wazi taarifa na mambo mbalimbali bila woga wala upendeleo.
Hii...
Maafisa wa jeshi la Israel wanasema kuwa wamewakamata tena wafungwa wa 2 wa kipalestina waliowahi kutoroka kwenye jela yenye ulinzi mkali ya Gilboa baada, ya utafutaji wa siku 14, kukamtwa tena kwa wafungwa hawa, kunakamilisha idadi yote ya wafungwa 6 kuingia mikononi mwa maafisa wajeshi la...
Maafisa wa usalama wa Israel wasibitisha kuwakamata wafungwa wa 4 kati ya 6 hatari wa wanamgambo wa kipalestina waliotoroka kwenye gereza lenye ulinzi mkali la Gilboa.
Siku ya kuondoka jeshi la Marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee yalioaachwa na jeshi la Marekani, kumbe Wamarekani waliharibu kila kitu ambae sio rahisi...
Leo ni siku ya mwisho ya kuondoka mwanajeshi wa mwisho wa marekani nchini Afghanistan wakiwa wameuliwa wanajeshi 13 kwenye harakati za kuhamisha Raia wakigeni na wakimbizi wa Afghanistan.
Wakuu kuhusu sakata la muuwaji Hamza kwa uchungu mengi yanasemwa, basi Mwalimu Richard Mabala Makengeza naye kasema yake ili kuepuka uzao wakihalifu sawa na wa Hamza, kapendekeza kwenye hospitali za wazazi kuwepo na watabiri.
zaidi Soma chini..
Juzi nikiwa nasikiliza taarifa ya habari ya tbc msomaji aligusia suala la Denmark kufunga ubalozi wake hapa Tanzania 2024, msomaji alienda mbali kwa kusema: sababu za kufunga ubalozi inatokana kuwa wao hufungua balozi kwenye nchi zisizokua na amani, kwa hivyo wanafunga ubalozi wao tz kwa vile ni...
Hali ya wasiwasi imeanza kutanda duniani kote baada ya waasi wa Afghanistan wenye MSIMAMO mkali wa kiislam kutwaa miji mikubwa ya nchi hiyo na sasa kungia kwenye baadhi ya viunga va mjimkuu wa nchi hiyo KABUL.
Sasa hivi marekani na nchi nyingine zinahaha na harakati za kuwahamisha wandiplomasi...
Wakuu siendi mbali sana ila nimegundua njia halali ya kupunguza pesa tunazotozwa sisi wanyonge kwenye miamala ya simu.
Mbinu inayotakiwa kuifanya ukitaka kutuma pesa au kutoa pesa kwa wakala fanya hivi:
1-kutuma, tuma shilingi 990, 9990, 19990, na kuendelea.
2- kutoa pesa kwa wakala: toa...
Wana JF nawasalimu,
Wakuu nikiachana kwa upande wa dini zetu ISLAMIC na SABATO-CHRISTIAN uhalali na haramu wa NGURUWE, kuna mambo mengine yanayosemwa kuhusu nyama ya nguruwe.
Mimi sijui kama ni uzushi au ni kweli kwa hivyo nawaomba wana jamvi watufafanulie sifa hizi nzuri na mbaya zinazo...
Wana JF, pengine baadhi ya wezangu suali langu wanaweza wakalichukulia kuwa mzaha, lakini ni muhimu kujuwa vitu vinavo sababishwa na afya au maradhi mwilini mwetu ukiwemo "USHUZI" kitendo hiki cha kujamba kila binadamu na baadhi ya wanyama wanacho, tafauti ni uchuzi unaonuka na unaonuka.
Suali...
Ni utafiti niloufanya mapema tu baada ya mzigo huu wa kodi ya muamala wasimu na ikapachikwa jina hasimu la UZALENDO, nimegundua kwamba asilimia 90 ya watumiaji wa miamala ya simu ni wale walala hoi waliokua wakihifadhi pesa zao ndogondogo kweye vibubu au kwenye vibuyu na vyungu tu.
Hivyo basi...
Wakuu najuwa tu, huenda baadhi yetu mkaona uzi huu hapa nimeuvuta kiushabiki, la hasha! ila ni kwa kuzingatia usalama wa wachezaji na viongozi wa yanga, kutokana na jinsi Gari za kichina zinavokosolewa kwa usalama wake mdoga, haswa Mabasi haya ya YUTONG yanatabia ya ubovu wa kuwaka moto...
Wakuu asalam Allaykum.
Amani iwe juu yenu.
Baada ya salamu nawaletea uzi huu unaohusu athari ya uvaaji dhahabu kwa mwanaume.
Wanajamvi niliwahi kusikia kwa wahadhiri wa dini ya kiislam wakitahadharisha kuwa uvaaji wa dhahabu kwa mwanaume ni khatari!, husababisha upungufu wa nguvu za kiume...
wanajamvi bila shaka mpo salama bukheril afya.
mimi naona niingiye moja kwa moja kwenye jambo lilionisibu hadi kuwaletea hapa. Kama tunavojua serikali ilivotangaza msiba wa rais hayati magufuli na ikaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa moyo wa mfumo wa umeme, chaajabu wasifu uliondikwa...
Wakuu leo nimekutana na jambo la ajabu sijawahi kuliona maishani mwangu, nadhani hata baadhi yenu hamjalishudia.
Leo nilihudhuria sala dhuhri katika msikiti mkubwa fulani, baada ya kumaliza sala kwenye lango kuu la msikiti nikamkuta muumini muuza pilau kwa style ya takeaways.
Basi hapo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.