Kiwanja kina sqm 584,
Bei milioni 14 maongezi kidogo yapo.
Kiwanja kipo mtaa mzuri uliojengeka, barabara inafika mpaka kwenye kiwanja
Kimepimwa kina hati ya wizara
0675 065906
VIWANJA VIPO MBEZI MWISHO MSIGANI
✳️ VINA SQM 700 KILA KIMOJA
✳️ VIMEPIMWA VINA HATI YA WIZARA
✳️ PUNGUZO LA BEI MLN 15 TU
✳️ VIPO ENEO ZURI LENYE HUDUMA ZOTE
WAHI FASTA UCHUKUE CHAKO VIMEBAKI VIWANJA VIWILI 2 TU
0675065906
KIWANJA KINAUZWA KIBAHA LOLIONDO
✳️LOCATION :: KIBAHA LOLIONDO
✳️Kutoka Loliondo stendi mpaka site boda Tsh.1,000
✳️Ukubwa 60x43 bei mln 25 maongezi kidogo yapo
❇️Huduma zote za kijamii zinapatikana
✳️Umeme, Maji vyote vipo
✳️Kiwanja kipo mtaa mzuri opposite na bandari kavu
❇️Kupelekwa site...
Nyumba inapangishwa kimara Korogwe Kwa mkua njia ya kuelekea Tabata,
Ina vyumba 2 vyote master maji yana flow ndani
Ina sebule kubwa na jiko
Gypsum na tiles mpaka chooni
Kodi 200,000 kwa mwezi
0675065906
Nunua kiwanja kwa bei chee.
Mbezi Msakuzi Makabe 18×22 kiwanja kina nyumba kuu kuu ya vyumba 3 bei mln 20
Kiluvya Gogoni 22×25 bei mln 9
Kiluvya kwa Komba 20×20 mln 6
Kiluvya kwa Sumaye 40×40mln 18
Kiluvya kwa Sumaye 20×20 bei mln 6
Viwanja vyote umeme na maji yapo jirani
Idara ya usalama wa Taifa (TISS) imeundwa kwa sheria ya bunge namba 15 ya mwaka 1996 (Tanzania Intelligence and Security Service act No. 15 of 1996) iliyosainiwa na Rais Benjamin Mkapa tarehe 20 mwezi Januari mwaka 1997. Sheria hiyo ndio inayoipa mamlaka Idara hiyo kufanya kazi zake ndani na nje...
SAFARI YA KUZAMIA AFRIKA YA KUSINI KWA NJIA ZA PANYA
Sehemu ya kwanza.
Utangulizi
Mimi ni mtanzania mzaliwa wa Mbeya. Kwa sasa umri wangu ni wa kutosha kidogo kwa sababu nipo duniani tangu miaka ya 1980.
Wakati nasoma shule ya msingi kwenye miaka ya 1990 hivi tulikuwa tunaimba nyimbo maarufu...
Wakubwa nisaidie hapa hivi ni kweli mpaka leo tarehe 26/4/2021 Wafanyakazi wa Benki ya NMB hawajalipwa mishahara yao au Napigwa sound.
Maana kuna Mtu namdai sh.200,000/= anafanya kazi kwenye hiyo benki Karibu mwezi ananizungusha kunilipa deni na Mara ya mwisho nimembana juzi alhamisi akasema...
Salamu zenu wakubwa,
Mimi ni kijana mwenzenu wa Kitanzania mwenye miaka 29, sina mtoto wala mke, nina Diploma ya Ualimu na kwasasa nafanya kazi katika moja ya shule binafsi hapa Dar.
Kilichonifanya nije kwenu wandugu kuomba ushauri, ni takriban mwezi mmoja sasa katika pitapita huko kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.