Pamoja na kwamba swali limeulizwa kishabiki, nakushukuru umejibu vizuri kiasi. Kwangu ni vizuri UKAWA wanapokosoa waeleze kwa ufasaha mbadala wa tatizo la CCM. Kwani ukiacha majina ya vyama kwa kiasi fulani misingi yetu/tabia zetu kama binadamu zinaendana. Mfano wengi kama siyo wote tunapenda...
A Prayer for our Nation's ElectionO God, we acknowledge You today as Lord,
Not only of individuals, but of nations and governments.
We thank You for the privilege
Of being able to organize ourselves politically
And of knowing that political loyalty
Does not have to mean disloyalty to You...
Nimefurahi mzee alivyowasilisha mada yake. Kwanza kakiri kwamba haya siyo nzuri, na kuwa chuo cha fitina ina maana hawajaanza leo. Sijui kama mwaka huu watafanikiwa ila kuna kila dalili ya kufaulu mtihani huu wa mwisho. Mkichomoka mwaka ni last chance ya kuacha maigizo makubwa kama ulivyokiri.
Ni jambo jema tukajua ni njia ipi ilitumika kupata wadhamini zaidi milioni ndani ya siku 2. Napenda mabadiliko lakini lazima tutumie njia zinazoeleweka. Tukizidisha ushabiki tutajuta ndani ya muda mfupi baada ya kuyapata.
Tunahitaji viongozi wazalendo wa kweli. Wanaochukiwa kuwaonewa kwa mtanzania yeyote kwa kukosa haki za msingi. Mageuzi bila kuwa na watu waadalifu ni sawa na bure. Viongozi waadilifu ndio watakaosaidia kubadili mifumo na sheria kandamizi. Tofauti yake ni kutafuta zamu ya kula.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.