Katika kusoma soma riwaya za kisasa zaidi za karne hii nimetambua kuna waandishi wazuri na wenye hadithi tamu wanafanana namna ya kuandika simulizi zao, maudhui yote kwa ujumla.
Kuna George Iron Mosenya jamaa ni fundi sana huyu ila uandishi wake unashabihiana na wa ABASY MZIGUA na ELIAS...
Kutakuwa na driver zimemiss kwenye hiyo harddisc mpya kwahyo cha kukushauri ni
*unapoweka HDD mpya kweny computer ni vizuri ukaipiga window au
*ufanye driver pack installation au
*fanya update ya computer
Hii inasaidia kufanya operation system (OS) ya computer kufanya kazi ipasavyo pia...
TAHADHARI: [emoji599][emoji599][emoji3544][emoji3544][emoji3544][emoji117]Je unajua unatakiwa Kuzingatia Mambo Muhimu haya Wakati wa Kununua Betri kwa Ajili ya Laptop yako?
1. Aina/ Model ya Betri husika,
Hakikisha Model ya Laptop yako inaendana na Betri unayotaka kununua, mara nyingi Model...
TAHADHARI [emoji599]: Kuna mambo mchache ya kutambua hasa pale unapoona HDD Ya Laptop au Desktop yako imeonyesha Dalili hizi;
1. Kuzunguka/ ku-load kwa muda mrefu sana bila kumaliza.
2. Laptop / Desktop kuwa nzito saana.
3. Ukisoma Hdd life inakuambia 0% na kuonyesha hali ya hatari kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.