Babaji ni Himalayan yogi ambaye ameishi kwa muda mrefu sana.
Kila mtu anapaswa kumfahamu Babaji ni nani. Inasemekana Babaji amezaliwa Madras, India, AD 200.
Mpaka leo yuko hai.
Nilitamani kuweka picha moja ya Babaji hapa, lakini hii simu ina matatizo gani sijui mbili hizi.
Nilitamani kuweka...
Kweli upo wa CCM kuhusu jambo hilo, lakini hakuna sababu ya kugombana na watu wanaoutaka urais.
Achilles heel ya Rais Samia ni kwamba anakopa sana hela, watu wanaishi beyond their means.
Hizi hela zote zinazokopwa, utafika wakati wa malipo.
Hiki ndicho chanzo cha vita. Pesa zote zinamilikiwa...
Yesu alisema,"Vipi Hekalu limegeuzwa kuwa pango la wezi na wanyang'anyi?"
Kwa wale ambao sio Wakristu tuseme kwamba Yesu akawaona wati wanafanya dili nyingi za pesa.
Akasema,"Baba yangu aliamuru hii iwe nyumba ya sala, lakini mmeibadili kuwa pango la wezi"
Ndio tunajiuliza serikali imekuwa...
Kuna yeyote anaweza kutukumbusha kuhusu CV ya Makonda?
Alikwenda UDSM ,alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi,and what else?
Tunaweza kuipata CV yake apart from his illustrious political career?
Jana nimekwenda posta kununua stempu na kuposti barua kwenda UK(United Kingdom).
Baada ya kuiweka stempu nikamuuliza yule mdada barua itasafiri vipi?
Akasema, ile barua itapelekwa Dar es Salaam kwanza.
Nikasema,"Oh! kwa hiyo itaondoka ya ndege jioni?"
Akasema,"Hapana. Haitandoka leo. The...
The White House has instructed the M 23 rebels to use only light weapons when engaging in the figthing,and also to get out of DRC.
This is very humane for The White House to say such a thing.
But it is time now to bring this war to an end.
What should happen is this:
The side which is...
Netanyahu alikuwa anaongea na viongozi wa Afrika miaka michache iliyopita.
Actually alikuwa anamnukuu Theodor Herzl, kiongozi wa Wayahudi aliyesema: "After I have freed the Jews,I will go to Africa to save the Africans."
Netanyahu anasema:"I believe in Africa. Here we have the Black Jews...
Ule Uchaguzi uliotokea kwanza miaka mitano iliyopita Tshisekedi hakushinda.
Alipata urais kwa hisani ya Joseph Kabila.
Kanisa Katoliki lilisema "kesho tutamtangaza mshindi wa Uchaguzi.' Halafu hilo tangazo halikufanyika kwa sababu Papa Francis alitoa maagizo Kanisa lisiingilie mambo ya siasa...
Kwa hiyo nashangaa kuona Jakaya Kikwete anataka kuwa AU Chairperson.
Mtu kama Kikwete hawezi kusuhulisha mzozo Kama ule wa DRC.
Unakumbuka wakati wengi walifukuzwa mkoa gani sijui,baada ya kuitwa "Warundi". Kagame alichukizwa sana, akasema wale watu walionewa tu.
Raila Odinga ingekuwa vizuri...
Kila siku utasikia,"Rais kajenga barabara hapa:Rais katujengea zahanati."
Watu wanamwabudu Rais,na yeye hafanyi kitu chochote kuwazuia. Haya ndiyo mambo yanayomchukiza Mungu.
Kwa ajili Uchaguzi Mkuu unakaribia,acha watu wanisifie zaidi na zaidi.
Magufuli hakuwa anasifiwa namna hii; ingawa watu...
1 Samuel 3: 11
And the LORD said to Samuel: “See, I am about to do something in Israel that will make the ears of everyone who hears about it tingle.
I am reminded of that verse in The Holy Bible because I was listening to things today which were making my ears tingle. The Wazalendo( these are...
Hapa itatokea moja kati ya hayo mawili.
M 23 wakishindwa kuiteka Sake na Goma,jeshi la SADC litakwenda Ikulu Kigali.
Mpaka sasa jeshi la SADC ndio lina nafasi nzuri ya kushinda. Lina uwezo mkubwa,pia linasaidiwa na Urusi.
Mambo wanayofanya M 23 siyo Democratic,kwa hiyo nadhani Warusi...
Unatumiwa msg unaambiwa kama unahitaji mkopo jibu MAX kwenye hii msg halafu utapata mkopo was sh 3000.
Ukijibu MAX unapata msg ambayo inasema umefanikiwa kupata mkopo.
Halafu ukijaribu kuingia katika internet unashindwa.
Line yangu ni ya TIGO.
HII ni mara ya pili napata matatizo na TIGO...
Kamanda wa Monusco Goma anasema m 23 wakijaribu kuiteka Goma Monusco italisaidia Jeshi la Kongo. Hii ni mara ya Kwanza Monusco wamesikika wakiongea namna hii.
Pia Kamanda wa Tanzania Goma anasema watawalinda raia Goma na wanaahidi kwamba adui akifika pale hawatakimbia na kuwaacha raia wateseke...
Ni ushahidi kwamba hakuna demokrasia katika nchi hii. Inaonyesha kwamba nchi hii haithsmini demokrasia. People are laughing at democracy.
Watu wanataka wakodi mabasi waende Mwanza lakini siyo Polisi,sio Mkuu wa Mkoa wanaonekana kuwa na taarifa yoyote ya maandamano.
Kiongozi wa serikali...
Labda ipo njia ya kistaarabu zaidi ya kuandika haya mambo. Tunashangazwa wote nadhani katika haya maneno yanayosemwa kati ya Katibu Mwenezi Makonda na Waziri Bashe. Na pia wapo wengine.
Haya ni mambo mabaya. Kama Mbunge Gwajima alivyokuwa anasema jana kwamba mtoto wa tajiri wa Unguja alitoweka...
Anazunguka nchi nzima kusikiliza kero za wananchi,na inaelekea kwamba hapa na pale anafanikiwa kumsaidia mtu.
Lakini jambo muhimu kwake yeye ni kuwa na heshima kwa viongzi wastaafu, ambao umeona wengine wanalalamoka, kama kwa mfano nimeona Mzee Mizengo Pinda anamlalamika Makonda.
Kama watu...
M23 mambo hayawaendei vizuri. Wamepata pigo kubwa sana siku za karibuni. Wamepoteza wapiganaji 80.
Lakini wao wanasema they were observing a ceasefire,kwa hiyo wameshambuliwa bila sababu na hizo drones za jeshi la DRC.
Swali langu ni kwamba AU iko wapi?
Sasa Tshitsekedi wiki iliyopita...
Zamani,wakati wa Awamu ya Kwanza vijana wa Kiislamu walimshambulia Mama Sophia
Kawawa,wanamwambia ajihadhari. Mama Sophia Kawawa alikuwa amesema dini ya Kiislamu inawaonea wanawake. Wale vijana walikua wanaitetea dini.
Sijui ilivyokuwa,yale mambo yalitokea zamani sana. Wale vijana sijui...
Rwanda na DRC zinaweza kwenda vitani wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Ndivyo wanavyosema CIA. Ndio maana Williams Burns alifika hapa wiki mbili zilizopita kuongea na Rais Ruto. Williams Burns huyu ni Director wa CIA.
Lakini sisi tupo hapa hatujaona chochote bado,wanakuja watu toka nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.