Immersed in yoga, he would abandon all things, rapt in meditation. Possessed of great energy of mind, he has no desire for anything that excites the five senses.
The wise man, withdrawing his five senses into the mind, should then fix the unstable mind with the five senses (into the...
Yule Nabii wa Arusha alitabiri Gwajima atakuwa rais.
Halafu sijui litatokea jambo gani sasa. Mungu amebadili mawazo Yake.
Kwa sababu yule Nabii anatabiri sasa kwamba Jeshi litapindua serikali.
Malisa naye amekatwa au vipi?
Yule Malisa nadhani ni mwandishi was habari.
Yule ni experienced reporter. Sijui sasa ameingia katika matatizo gani.
Always nimeona yule Malisa ni very self - controlled katika kila taarifa anayoandika( isipokuwa tu anapomsema Paul Makonda).
Malisa nilikuwa naziona...
Hapo Millard Ayo ni yupi?
And this really happened. Tulikuwa Loitokitok tumekwenda kupanda mlima ( Kilimanjaro)
Mtu mmoja pale akaonyeshwa album ya waimbaji Nina and Frederick.
Akauliza,"Which one is Nina and which one is Frederick?'
Ndio tulikuwa tunasema jana kwamba we note with great concern kwamba Makonda amekwenda Dodoma kuhojiwa na Kamati ya Maadili na mkoa umebaki bila uongozi.
Sasa hawa watu kwa bahati nzuri hakuna mtu aliyekufa; hawa watu wana bahati katika vijiji vyao wanasafiri kwa mitumbwi?
Mambo kule(DRC) yanaenda kwa kupiga dili.
Unapeleka majeshi kulinda amani kule,lakini wakifika kule wanapiga dili tu.
MONUSCO ndio hawa wanafukuzwa.
Jeshi la EAC lilipelekwa kule likafukuzwa.
Hili jeshi la SADC nalo pia litafukuzwa.
Kwa sababu hawa wakienda kule wanapiga dili tu. Hawafanyi...
Hii video niliiona juzi.
Huyu anasema alimuuliza Mungu ana mpango gani kuhusu hawa walimwengu ambao hawaishi kwa kufuata maadili?
Mungu akamwambia,"Wewe niambie. Unataka nifanye nini? Utakalosema,nitafanya."
Kwa hiyo anayesema Gwajima atakuwa rais ni huyu nabii,siyo Mungu.
Na hapa Mungu...
Ndalichako kafukuzwa kazi.
Yule si ana PhD ya hesabu?
Sasa kwa nini afukuzwe kazi?
Badala yake tunaona rais juzi kapata PhD ya heshima.
Kabisa mimi sina Imani na rais huyu.
Ukilala usingizi,siyo kila kitu kinalala; moyo unadunda,kwa hiyo moyo haulali; mapafu yanapumua, kwa hiyo mapafu hayalali...
Nfoto hazina maana yoyote.
Jana Jokate atapata matatizo.
Na tarehe nikapewa,tarehe 10,watu watakapokuwa wanatoka kazini.
Sasa sijui kama Ile tarehe inahusiana na matatizo ya Jokate.
Na mimi sina habari kuhusu kosa lolote la Jokate mpaka apate matatizo.
Lakini nimeota natazama gazeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.