Kipa akipewa Kadi nyekundu, anatoka nje, then inafanyika sub, anatoka mchezaji WA ndani anaingia kipa mwingine .
Kuhusu linesman kumshinikiza refa. mpira ni mchezo WA nidhamu,kitendo chochote cha utovu WA nidhamu refa inatakiwa atoe adhabu,bila hata kushinikizwa, na hilo tukio unalolizungumzia...
Gentamycin, kama tu hamuwezi kukubali kwamba kufungwa ni sehemu ya mchezo, mtaendelea kutafuna uchawi.
Kuna shida sana upande wa mashabiki upande wa hizi timu mbili. fahamu Azam pia anataka matokeo. Azam sio timu ya kubeza, ,ametoka kupoteza shirikisho, amepoteza kwenye ligi, so ameingia akiwa...
niliwahi kwenda kiwandani vingunguti, watu Wana fanya kazi mazingira hatarishi, Wana vaa mayebo yebo,joto kwenye machine,hakuna kabisa usalama wa wafanyakazi, Yani kama upo sokoni kariakoo
Na amini mnapita humu, natumai ujumbe mtaupata na mtaufanyia kazi. na hii ni mahusi kwa katibu mkuu.
Ipo hivi, CRB (Contractors Registration Board ndio wanaohusika kufanya assessment ya kampuni zinazotaka kusajiliwa na kufanya kazi ya ukandarasi, halafu board board members wanakuja kuidhinisha...
Mimi binafsi sijaona umuhimu kabisa wa hii shule, ulicho ongea ni kweli Kwa asilimia Mia, Nina mengi ya kuchangia, ngoja niishie hapa, Nita amka na huu Uzi asubuhi
Qur an ni kitabu kisicho na Shaka ndani yake. tafuta tafsiri sahihi, nenda YouTube utakutana na wanazuoni, kitabu kimeshushwa Karne ya 7,hakukua na hiyo elimu. hii pekee inatosha kukutoa huko uliko na kuifata njia ilio sahihi
wewe ndio mjinga, umejibu comment ya mdau, kupitia Ile picha ya lile fuso, limeandikwa treble. ukasema hiyo treble ni kuchukua kombe mara 3 mfululizo. ndio nakufahamisha, ni kuchukua makombe matatu katika msimu mmoja.acha uboya mbumbumbu fc
soma Kwa umakini na kutulia.huo ni mruko mmoja baada ya nyuzi za tairi kuonekana. Yani Kwa mfano ndege imeruka mara Mia 2, bila tairi kuonekana na shida yeyote.mruko WA 201 ikaonekana tairi Lina hitilafu, nyuzi zimeonekana. then toka nyuzi kuonekana ndege inaweza ruka miruko 8 Tu, then tyre...
Rwekaxa mambo vipi, ulipata tiba juu suala lako, kama ndio tafadhali naomba tuwasilianae.ninatatizo kama Hilo, na nimehangaika mno kupata tiba nimependa hospitali zote, na hata kutumia ma Dr WA India na USA,lakini sijapona, 0713 33 6998.
Personally namfahamu Deo, sijui huko kwenye makashfa ya Acacia Kama Kuna ukweli au lah, Ila ni mmoja wa watu nilio enjoy nao kufanya kazi nae, ana utu na ana vinasaba vyote vya kutosha kua kiongozi, nimefurahi kuona anasimama Njombe, na ni mtu anaekubalika mno, Hilo Jimbo tayari Deo ni mbunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.