Search results

  1. Kimbunga

    Tanga: Mbunge wa Lushoto na Mwenyekiti wa Halmashauri wadaiwa kuwindana kwa Risasi

    Huyu Shekilindi si ndio alikuwa akisambaza kadawa fulani hivi wakati wa UVIKO 19?
  2. Kimbunga

    TANZIA Pumzika kwa amani Sanctus Mtsimbe

    Umeshau pia kwamba alikuwa member mzuri wa Jamiiforums kwa siku nyingi. Alikuwa akianzisha njuzi mbalimbali humu. RIP Sanctus
  3. Kimbunga

    Mnataka kumbebesha Hayati Magufuli madhambi yenu?

    Naona wazee wa JF mmerejea, salamu zenu nyingi: Tindo Missile of the Nation Mzee Mwanakijiji SAGAI GALGANO Ngongo Nguruvi3 MTAZAMO Kichuguu etc. JF ilikuwa imepoa sasa itachangamka.
  4. Kimbunga

    Suala la mipango miji ndo imetushinda kabisa waafrika.

    Wapangaji miji si ndio hao ambao wanafanyiana mitihani, utategemea miji kupangwa na kupangika kwa wataalamu kufanyiana mitihani!! Wataalamu wa ARU wanaliaibisha Taifa. Nchi hai
  5. Kimbunga

    Freeman Mbowe: Tunaanzisha wiki ya Maandamano kwenye Makao Makuu yote ya Mikoa nchi nzima

    Nimekaa pembeni naaangalia haya mambo! Haya maandamano yanaenda kuimaliza CHADEMA. Mimi si mtabiri wala msoma nyota au Sharrif lakini huo ndio ukweli na ukweli mtupu. Ipo hivi: CHADEMA wataitisha maandamano na yatakuwa na mwitikio mdogo, hapo ndipo relevance ya Chama itakuwa hoi! Tusubiri tuone.
  6. Kimbunga

    Chuo cha Ardhi kinapaswa kuchukua hatua dhidi ya mabinti mapacha waliokiri kufanyiana mitihani

    Kumbe ndio maana miji yetu haipangiki kwa kuwa wapanga miji na watu wa mazingira wanafanyia mitihani!Tuna shida kubwa!
  7. Kimbunga

    Chadema "ikimaliza" mambo ya Mdee na wenzake ikawapa nafasi wagombee, naliona jimbo la Kawe na Bunda yakirudi Chadema kwa kishindo kitakatifu

    Hilo halina ubishi. Wanaobisha wabishe ila ukweli ndio huo. Siyo hayo pekee bali hata Karatu.
  8. Kimbunga

    Wapinzani tusimjibu Makonda. Tukimjibu tu tunajiharibia kwa wananchi

    Wajibu kitu gani kwa mfano? Kupanda punda?
  9. Kimbunga

    Tetesi: Kumekuwepo na taarifa kuhusiana na mabadiliko ya uongozi ndani ya CCM

    Kwenye Ukatibu sitii neno kwa kuwa siwafahamu vizuri ila kwenye Umakamu naona Dr Bashiru hapana. Huyu staili yake ilikuwa inaendana na Kamanda Magu. Hapo watu wawili wanaweza kuwa sahihi nao ni Bulembo ama Wasira.
  10. Kimbunga

    Makonda kuwa waziri kwenye wizara nyeti 2025 na mgombea urais 2030, na kuwa the Next Magu

    Haitaweza kuwezekana kwa huyo mtu kuwa Rais wa nchi hii. Hilo haliwezekani
  11. Kimbunga

    Walio karibu na Makonda wamwambie ni kosa kubwa kuwa maarufu kuliko Rais. Aache kabisa harakati

    HAKUNA TAASISI YENYE WIVU KAMA TAASISI YA URAIS. Mwenye masikio na asikie neno hili toka kwa Nabii huyu. Kuonya, kukemea, kuagiza, umaarufu, nk. ni mambo ambayo Taasisi ya Urais inayalinda kwa wivu mkubwa.
  12. Kimbunga

    Tufunge mjadala: Mobhare Matinyi vs Salim Kikeke nani alistahili kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali?

    Ikulu gani tena? Hapa tunasema msemaji mkuu wa serikali, siyo msemaji wa Ikulu! Tofautisha kwanza kati ya Msemaji Mkuu wa Serikali na Msemaji wa Ikulu kisha rudi tujadili.
  13. Kimbunga

    Tufunge mjadala: Mobhare Matinyi vs Salim Kikeke nani alistahili kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali?

    Tofautisha utangazaji na usemaji wa serikali! Kutangaza hata mtu asiye mwandishi anaweza. Kutangaza habari maana yake ni kusoma habari ambayo imeandikwa!
  14. Kimbunga

    Rais Samia amteua Dkt. Ramadhan Dau kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)

    Hatari, miaka 3 ni mchakato wa kutafuta wajumbe wa bodi!
  15. Kimbunga

    Watanganyika mlio uziwa Ardhi ya zanzibari fungueni kesi mtashinda kabla ya ibada ya Kwanza kuisha!

    Sas sasa kama wana hati halali unawatoaje. Pia na kama hao wanaodai kuwa ni ardhi tao nao hawana hati sasa wanadai kwa kutumia nini? Hata kama wangekuwa na hati, unaruhusu vipi trespassing ya muda wote huu?? Ceteris peribus, watashinda hata kabla ya kengele ya ibada ya kwanza kupigwa
  16. Kimbunga

    Jenerali Ulimwengu: Wakosoaji hawamtendei haki Paul Kagame

    Nilijua tu utakuja! BAHIMA EMPIRE
  17. Kimbunga

    Huu mwaka 2023 kuna watu bado wanamsikiliza Issa Shivji?

    As regards an Article by Emeritus Prof. Issa Shivji titled Abolition of Public Interest Litigation, we do agree with the Respondent that, much as we respect the views of our highly respected Prof. Issa Shivji, though distinctly argued, the same have no binding effect before this Court. Indeed...
Back
Top Bottom