taasisi ninayoifahamu inakopesha kuanzia milion Moja Hadi thelathini tu kama ukiwa na vigezo na inachukua siku mbili tu.
Kama mkopo ni zaidi ya hapo bank ndo suluhisho
Nyumba inauzwa
Mahali: Goba(Lilian kibo) karibu na njia nne,
Nyumba ipo barabaran kabisa.
*Vyumba sita,
*Hati miliki,
*Umeme upo
*Maji yapo
*Bei 60millions
N.b
Maelewano yapo
Mhusika ni mimi mwenyewe
Simu:0787357219.
binafsi nakuunga mkono chief,,Nina uhakika vigezo vyote vimetumika na Kwa umakini wa hali ya juu
Mfano mzuri ni mimi binafsi
O level nikipata div 3 ya point 23 shule ya kata
O level nikapangwa hge nikapasua one Kali
Chuo nimesoma ICT na nimepasua
Jkt nilienda
umri 27 na pepa nilipiga fresh...
Poleni na majukumu ndugu zangu,
Nianze Kwa kumshukuru Mungu muumba wa mbingu,nchi na vilivyomo. Kuna habari njema nimeipokea ila imekua na walakini Kwa moja ya washauri wangu,Kwa muda sasa yapata miaka miwili nimekuwa natafuta kazi/ajira na sikuweza kufanikiwa kupata kazi ya matamanio yangu ila...
Hello wakuu habari zenu
Natafuta wasafirishaji wa mizigo wenye uhakika na kazi kama ifuatavyo;
1.Kutoka bandarini kwenda Congo(hii ni tender ya mwaka mzima)
2.Kusafirisha mazao kutoka kusini mwa Tanzania kwenda bandarini(dar)
Kwa yoyote mwenye mawasiliano namuomba pm tujadili pia ni kazi ambazo...
Kujitolea kwangu kutanipa fursa ya kuyakumbuka na kujifunza changamoto zote nitakazokutana nazo eneo la kazi hivyo basi,kuhusu kusahau nikuondoe shaka mkuu,, kama kuna namna unaweza nishika mkono naomba msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.