Habari zenu humu,
Mimi ni kijana wa kiume umri wangu 24 ni fundi umeme wa magari nimejiajiri ila game ni ngumu sana huku mtaani hvyo natafuta kampuni au taasisi yoyote yenye uhitaji na fundi umeme wa magari pia nipo tayari kufanya kazi popote na pia kwa mwenye kazi hata nje ya taaluma yangu pia...
Habari zenu poleni na mihangaiko ya kila siku niende moja kwa moja kwenye Lengo nauza hiyo mashine ya kuoshea magari
☆Sifa zake:
》Inatumia umeme tu
》Ni mpya kabisa ipo kwenye box lake
》Pump yake ina nguvu ya pressure 150 Bars
》 PSI ya 2,300 Kwa nguvu ya hio pump.
》Inaweza kupump lita 400 za...
Kichwa kimemaliza maelezo yote kla hiyo easy diag au ikiwa full box diagnosis machine ya kupima magar madogo ya aina yote nicheki:
WhatsApp: 0653271318.
Au nipigie kawaida 0653271318.
Karibuniii wanazengo wataalam wa mambo hapashindikani kitu humu.
Kama kichwa cha habari hapo kinavyoeleza maombeni msaada wa DIAGRAM ya ist yenye engine ya 1nz fe na ile ya 2nz fe kwa mwenye nazo anisaidie wakuu nina shida nazo kwa mwenye nazo naomba me na kwa faida ya wengine
Karibuni
stoplight
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.