Wakifa utapata faida gani? Fikiri Mara mbili kabla hujafanya Hilo azimio lako...ni Mara kumi umfanyizie akiwa mbele za watu ni full kujamba Kama nyegere
Ukiangalia fixtures mfano timu inacheza tarehe 04.10.2023 then inakuja kucheza Tena trh 22.10.2023 na inacheza game 3 ndani ya siku 6 Sasa huo Kama sio upumbavu ni Nini? Kwanini wakae wiki 3 bila kucheza then uje kumjazia mamichezo mengi ndani ya mda mfupi? Mpira wa bongo ili ukuwe Kuna mijitu...
Kupanda kwa gharama za bundle, kupanda kwa Bei za mafuta kila jumatano ya kwanza ya mwezi, kukosekana kwa mafuta, kukosekana kwa dollar, kukatika kwa umeme kila Mara Hadi zaidi ya masaa 12 kwa siku, kuteua na kutengua kila Mara huku utendaji ukibaki uleule, etc etc etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.