Hili suala la ushoga ifikie kipindi serikali itangaze kuwa Janga la taifa. Watoto wadogo mashoga wamejaa badoo wanajinadi hadharani kabisa. Kwa mji kama Dar es salaam ni almost kila mtaa una kijana shoga. Tena vijana wadogo kweli huwezi amini.
Mungu atunusuru
Saleh Jabr. Alitamba na vibao cha "ice ice baby" na mwingine sijui unaitwaje but alikuwa anatumia rythm na beat ya wimbo wa Chakka Demus & Plius wa "murder she wrote" hiyo ilikuwa ni early 90's
It is very possible! Lengo la wamarekani kuibua haya makundi wanayoyaita ya kigaidi ni ku-destabilize all arabs/persians countries that are threat to Israel security na kupora mafuta.
Hii kitu Mimi huwasiielewi. Kwani wakwenye mitandao sio ndio Hao hao tunaowatongoza mitaani?
Mimi nafikiri unaweza kumpata, ni wewe tu na uamuzi wako. Hao machangu na waliochoka wanajulikana kiurahisi tu kwenye mitandao na wastaarabu pia wanajulikana pia. Binafsi Sioni tofauti kutafuta...
Mkuu kweli lengo ni kufikisha ujumbe? kama ndiyo hivyo kwanini comedians pekee ndiyo waitumie njia hiyo na sio watu wengine kwenye kufikisha huo ujumbe? Na mbona comedians wakike wapo wengi kwanini wasitumike wao kufikisha huo ujumbe?
Kwanza Mimi huwa sielewi, hivi wanawake ni kituko eenh? Maana comedian kujifananisha na mwanamke ili achekeshe maana yake kuwa mwanamke ni kichekesho.
Wanawake hebu kemeeni hili
Hebu ona haya mkuu! Accent ya kabila gani hiyo wide inatamkwa wise?
Hoja hapa mseme lugha sio kigezo pekee cha kumchagua Rais lakini kiukweli lugha ya malkia ni tatizo kwa mkulu wetu.
Acha uongo wewe, kosa la kujitangazia matokeo hukumu yake mahakamani ni miaka ni 3 jela au fine ya Tsh Laki 5. Hiyo ni upotoshaji wa kipuuzi kabisa kusema ccm wangempeleka Maalim mahakamani ndio ungekuwa mwisho wa ushindi wake. Labda kama wangeshindwa kulipa hiyo laki 5.
Halafu hivi wasimamizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.